mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Ndy tukubali Tanzania kwa sasa ndy kinara wa kufunga kifungo kirefu watu wa madawa ya kulevya kuliko inchi yeyote Africa na ulaya na marekani kote kwa ujumla.Bwashee hapo solution sio kupunguza kifungo, solution ni kuacha hiyo biashara ya madawa. Acha
Tena kifungo kisichofata sheria
Vipi umuhukumu mtuhumiwa mmoja miaka 20._kwa grams 250.
Na uwahukumu watuhumiwa 2 kwa kosa lile lile,
Na kiwango kile kile grams 250 uwafunge maisha.?
Mkuu wewe yanayoendelea huyajuwi.hujuwi kuna watu wameumizwa kwa kiasi gani.
90% ya waliokamatwa na hizo 250 grams ni framed case.
Mizigo wamekuja nayo hao police na kuwawekea madawa..
Hakuna mtu wa madawa anayejielewa akakaa na madawa ndani kwake.
Ina maana wenye mamlaka wameshindwa kufanya kazi kwa weledi hadi kubambikizia watu madawa majumbani?