Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Hahaha umenikumbusha mbali Sana polisi wengi walikuwa kwenye payroll ya chonch so ilikuwa ngumu kumdaka na viherehere wengi walihamishwa vituo kwa jeuri ya chonchi
Unamjua yule ndugu yake imamu wa ule msikiti
 
Hivi ile kampuni yake ya usafirishaji ilikufa au Kuna mwamba anaiendeleza maana ndio lilikuwa Chaka lake lakuzugia
 
Utter stupidity. Hawa mahakimu wa Tanzania wanafanya kazi kufurahisha watawala sio kufurahisha taaluma zao. Kesi ya drugs unawezaje kumfunga mtu gerezani maisha yake yote?

Sijawahi sikia. At the same time wauwaji wanatamba tu mitaani huko kisa wana authority. Ujinga sana. Naichukia Tanzania. Ffs.
 
Ile ilikufa punde walipokamatwa kina Chonji,na sidhani kama haikuwa ikiendeshwa kihasara maana nishajaribu hii biashara ya usafirishaji nusu iondoke na roho yangu.lilikuwa chaka lile
Pole Sana mkuu hapa mjin pana mambo Sana unaweza kuta hotel Kali ipo manzese ndani hakuna wateja wa maana lakn inapiga kaz miaka yote unajiuliza anapataje pesa hupat majibu kumbe n Chaka tu la kujigicha na mamlaka
 
Alishindwa kumzuia mdogo wake kama kweli ni kiongozi wa dini
Na baadh ya pesa alikuwa anasponsor pale masjd hasa nyakat za mwez mfungo na watoto wa nadrasa amewapa Sana pesa za safar Kama kuwakodia magar
 
Na baadh ya pesa alikuwa anasponsor pale masjd hasa nyakat za mwez mfungo na watoto wa nadrasa amewapa Sana pesa za safar Kama kuwakodia magar
Bora watulizwe huko kwa kweli...Shamimu atoke ashajifunza ila hii mibaba iozee hukohuko ishee mablanket na wateja wao huko magerezani
 
Biashara ya kawaida utaona upuuzi tuu compared na return margins ya biashara ya unga.
Biashara inakupa up to 1000% percent profit sio mchezo kaka. Ni ngumu kuacha.
 
Tatizo mtu anataka aishi maisha ya garama
Hataki aonekane kashuka au kafulia

Ova
 
Hivi wanaosema walikuwa wanaharibu watoto wa watu, kwani si hiari ya mtu kutumia madawa au kutotumia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…