Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

So sad,
Hawana watoto wadogo ambao wanahitaji malezi ya wazazi?
 
Biashara ya madawa ina kama laanaa
Mwisho wake always ni mmbaya
Kuna kufungwa,kuna wewe mfanyabiashara hiyo kuwa
Biashara ya madawa ina kama laanaa
Mwisho wake always ni mmbaya
Kuna kufungwa,kuna wewe mfanyabiashara hiyo kuwa teja,na kuna kufaaaa

Watu sijui bado hawajaliona hilo

Ova

teja,na kuna kufaaaa

Watu sijui bado hawajaliona hilo

Ova
mkuu nataka kukuambia ukitusua pesa ya kukutoa labda hata milioni 40 tu kimfano tembea kilomita, usirudi makazi gale nenda kafanye mengine.
 
mfungwa wa kike hachangamani na askari wa kiume

mfungwa wa zaidi ya miaka10 hawezi kumalizia kifungo gereza1 so watazunguka magereza Tanzania hadi wakome

jela wote n sawa tuu ila pesa inaweza kukufanya ukaepuka magenge ya kazi ngumu hapo ni baada ya kusota sana

zaidi ya punyeto(tena usishikwe maana toilet unaingia kwa muda maalumu na unajisaidia kwa muda uliopangiwa na kierehere wa toilet sasa zidisha muda au fosi uone nguvu ya kierehere na nyapara)

hukumu ikishatoka hakuna wa kukuonea huruma myb rufaa au msamaha wa raisi(huu unakujaga na masharti na maranyingi wabakaji na ma pusha auwahusu)

na wakati wa kuingia ukipata nguo mpya mshukuru mungu maana zitakusogeza hata 2yrs hivii msishangae kesho kumkuta nsembo na shati ilorauka na suruali haieleweki ni gauni au pensi

wanawake wanaraha magereza yao ni masafi na chakula chao ni kizuri na hawafanyi kazi ngumu!!!
*mahakamani ni fact sio blabla asa bora hakimu kuliko jaji .
Da, nishai mjomba
 
Kabisa aisee Shamim aka ZEZE alikuwa mtu safi sana na nina imani bado ni mtu safi mpk leo ni upepo mbaya (shetani) tu ulimpitia. Personally nafahamu sana Shamim tena toka enzi zile ndie mratibu wa Darhotwire. Alikuwa mpambanaji na kaduka kake kadogo pale Sinza 8020 fashion. Nakumbuka alikuwa akileta nguo ananijulisha nikamchagulie wife

Darhotwire ilivyokufa nilipoteana nae ila kuna siku from nowhere alinitumia e mail (simu nilibadili) nakuniambia anaolewa nikachukue kadi yangu pale 8020 Mapambano. Niliudhuria ile harusi na ilikuwa ya kubwa sana na ya kifahari.

Sikujua kama mwisho wake utakuwa hivi. Alipokamatwa niliwahi kuwaza niende kumtembelea Segadansi ila sikulifanikisha hilo. Nilikuwa najua kuwa haya matatizo yamemkuta ila hakuwa hivyo nadhani ali-team up na mtu asiye sahihi na akashindwa kujitoa na kuamua kumlinda. Hilo ndio lililom-cost.

Shamim ni dada mmoja mwenye roho nzuri na ya kipekee. Pia nakumbuka aliwahi kuwa judge kwenye kumsaka Mfalme wa Rhymes ambapo alishinda Afande Sele. Kila mwanadamu ana mapungufu na pia hatujui kesho yetu. Sijui kama ni kweli alikuwa anajihusisha na hayo madawa wala siwezi kusema alifanya.

Kwa roho yake, namwombea afanye toba kwa Mungu wake na nina uhakika MUNGU atatenda miujiza
Well said Mkuu
 
Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
Una uhakika na unacho kinena?
 
Du! Hio hukumu sio mchezo,hata hivyo athari ya madawa ya kulevya kwa jamii ni kubwa sana,watoto wa watu wanakufa wengine wanakuwa vichaa

Hawa wameumiza watu wengi sana. Nyuma yao wameharibu roho na maisha lukuki. Mara nyingine tuangalie uhalisia. Nawaonea huruma sana maana watoto wao ndio hivyo tena....
Hakuna legacy yoyote alioacha nyuma. Majuto mjukuu
 
Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.

Alikuwa ana support mmewe kufanya hiyo biashara. Anatudanganya kutunza hela kwa kibobo. Anyway, sijui sana hizi sheria, ila hawa ni waharibifu. Sio watu wa kuruhusu warudi mtaani
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake

How? Makonda yuko team ya kupambana na madawa ya kulevya? Tusihamishe magoli.
Maishani tunavuna tunachopanda
 
Ila mbele adhabu zao miaka 38 hadi 14 na wasema kabisaz kama mwenendo wa mfungwa nzuri adhabu hufupishwa zaidi. Huwa naangali NGC.. huyu Bwana Abdul itakuwa ameyakoroga alivyokili huenda alifunguka mengi sana na ya ajabu ndio maapana kapigwa hiyo hukumu
inaoneshwa lini na sangapi mkuu
 
Wanafiki sana hawa kunguni.

Wakipita karibu na baa au jiko la kitimoto utasikia Astafirullah, lakini kuua ndoto na afya za watoto wa watu hakuna astakhafirullah Maamuma hawa
Huuhuu
 
Wauza ngede wameuvamia Kwa hasira sana[emoji28][emoji28][emoji28]
Tunawachora tu
Hahaha ukweli ndiyo huo ktk biashara hiyo
Lazima utalipa tu kama sisi wewe basi watoto wako
Kuna wakati mali na hela zote zinarudi kwa mamlaka......au wewe kupotelea jela,na kuwa mtumiaji wa ngada pia
Wauzaji wengi mwishowe huwa mateja nao

Mchimba kisima kaingiAa mwenyewe hiyo

Hii kitu ina liana mbaya sanaa

Ova
 
Back
Top Bottom