mkuu nataka kukuambia ukitusua pesa ya kukutoa labda hata milioni 40 tu kimfano tembea kilomita, usirudi makazi gale nenda kafanye mengine.Biashara ya madawa ina kama laanaa
Mwisho wake always ni mmbaya
Kuna kufungwa,kuna wewe mfanyabiashara hiyo kuwa
Biashara ya madawa ina kama laanaa
Mwisho wake always ni mmbaya
Kuna kufungwa,kuna wewe mfanyabiashara hiyo kuwa teja,na kuna kufaaaa
Watu sijui bado hawajaliona hilo
Ova
teja,na kuna kufaaaa
Watu sijui bado hawajaliona hilo
Ova
Da, nishai mjombamfungwa wa kike hachangamani na askari wa kiume
mfungwa wa zaidi ya miaka10 hawezi kumalizia kifungo gereza1 so watazunguka magereza Tanzania hadi wakome
jela wote n sawa tuu ila pesa inaweza kukufanya ukaepuka magenge ya kazi ngumu hapo ni baada ya kusota sana
zaidi ya punyeto(tena usishikwe maana toilet unaingia kwa muda maalumu na unajisaidia kwa muda uliopangiwa na kierehere wa toilet sasa zidisha muda au fosi uone nguvu ya kierehere na nyapara)
hukumu ikishatoka hakuna wa kukuonea huruma myb rufaa au msamaha wa raisi(huu unakujaga na masharti na maranyingi wabakaji na ma pusha auwahusu)
na wakati wa kuingia ukipata nguo mpya mshukuru mungu maana zitakusogeza hata 2yrs hivii msishangae kesho kumkuta nsembo na shati ilorauka na suruali haieleweki ni gauni au pensi
wanawake wanaraha magereza yao ni masafi na chakula chao ni kizuri na hawafanyi kazi ngumu!!!
*mahakamani ni fact sio blabla asa bora hakimu kuliko jaji .
Hii code nilipata mapema sana dah....
Ova
Well said MkuuKabisa aisee Shamim aka ZEZE alikuwa mtu safi sana na nina imani bado ni mtu safi mpk leo ni upepo mbaya (shetani) tu ulimpitia. Personally nafahamu sana Shamim tena toka enzi zile ndie mratibu wa Darhotwire. Alikuwa mpambanaji na kaduka kake kadogo pale Sinza 8020 fashion. Nakumbuka alikuwa akileta nguo ananijulisha nikamchagulie wife
Darhotwire ilivyokufa nilipoteana nae ila kuna siku from nowhere alinitumia e mail (simu nilibadili) nakuniambia anaolewa nikachukue kadi yangu pale 8020 Mapambano. Niliudhuria ile harusi na ilikuwa ya kubwa sana na ya kifahari.
Sikujua kama mwisho wake utakuwa hivi. Alipokamatwa niliwahi kuwaza niende kumtembelea Segadansi ila sikulifanikisha hilo. Nilikuwa najua kuwa haya matatizo yamemkuta ila hakuwa hivyo nadhani ali-team up na mtu asiye sahihi na akashindwa kujitoa na kuamua kumlinda. Hilo ndio lililom-cost.
Shamim ni dada mmoja mwenye roho nzuri na ya kipekee. Pia nakumbuka aliwahi kuwa judge kwenye kumsaka Mfalme wa Rhymes ambapo alishinda Afande Sele. Kila mwanadamu ana mapungufu na pia hatujui kesho yetu. Sijui kama ni kweli alikuwa anajihusisha na hayo madawa wala siwezi kusema alifanya.
Kwa roho yake, namwombea afanye toba kwa Mungu wake na nina uhakika MUNGU atatenda miujiza
Una uhakika na unacho kinena?Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
Du! Hio hukumu sio mchezo,hata hivyo athari ya madawa ya kulevya kwa jamii ni kubwa sana,watoto wa watu wanakufa wengine wanakuwa vichaa
Inauma na inachoma shamimu kufungwa maisha na dada wa watu hauzi Unga na aliewaekea Unga ni makonda huyu makonda huyu Mungu atamuonesha kabla hajafa na uzao wake ni Roho mbaya sana.
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
inaoneshwa lini na sangapi mkuuIla mbele adhabu zao miaka 38 hadi 14 na wasema kabisaz kama mwenendo wa mfungwa nzuri adhabu hufupishwa zaidi. Huwa naangali NGC.. huyu Bwana Abdul itakuwa ameyakoroga alivyokili huenda alifunguka mengi sana na ya ajabu ndio maapana kapigwa hiyo hukumu
HuuhuuWanafiki sana hawa kunguni.
Wakipita karibu na baa au jiko la kitimoto utasikia Astafirullah, lakini kuua ndoto na afya za watoto wa watu hakuna astakhafirullah Maamuma hawa
Shida Hawa mastaa wetu wanajiona wao wanahaki kuliko watanzania wengine.Sasa kesi ile ina tofauti gani na hii kama mjadala wa kumuokoa Shamimu ni kwamba ako na watoto wadogo?
kamtaja mwana fa kwa lipi tena😲😲😲Mbona kamtaja mwana FA
kama hawajamaliza kifungo chaoMvua nyingi mno..... Yani kutoka ni msamaha au ufe.....
Hivo wafungwa wakifa huwa inakuaje?
MBONA UZI UMEVAMIWA NA MATUSI
ngoja tuwaachieni uzi wenu
Ova
Hahaha ukweli ndiyo huo ktk biashara hiyoWauza ngede wameuvamia Kwa hasira sana[emoji28][emoji28][emoji28]
Tunawachora tu