Ni muislamBasi ametuharibia sana watoto wetu, yaani, ila kapata muda mzuri huko Gerrezani ampe Yesu maisha yake, aokoke.
Aise hiyo ni old skull kitambooo sana
Ova
waqt wa jolly club ya ukweli achilia mbali KARIBU hotel na morogoro store aagh waqt umekwenda wapi!Aise hiyo ni old skull kitambooo sana
Ova
si ndio aokoke sasa.Ni muislam
ugoro ni kama tambuu na K-vant, ukila umejtakia.Bado wauza ugoro wanaharibu sana vijana wetu
Acha kuleta Jau....usifananishe geji na ngadaBado wauza ugoro wanaharibu sana vijana wetu
Vipi wauza sigara, sirikali haiwaoni? Inaandikwa kabisa ni mbaya kwa afya yako ila inauzwa kihalali kabisaBado wauza ugoro wanaharibu sana vijana wetu
Huwezi amini Nsembo akitubu hukohuko jela bado ana uwezekano wa kwenda kurithi Mabikira 72 wa AkheraNi muislam
Ila maisha haya, siku moja nilimuona pale karume yuko na discovery moja matata amekula glass zake nikajiuliza vile vibubu alivyokua anapromote insta vinalipa hivi?Wale washapotea....labda itoke maajabu gani sijui..
Nashanga watu humu wanashanga hawa kupigwa maisha wakt kuna watu wana list ya watu zaidi ya 10 wamepigwa maisha
Tena huyo shamim ana hatihati ya kpelekwa butimba huko ndiko gereza wanawake hupelekwa
Ova
Si nasikia kuwa huyo nsemo mwanzo alikua anatoka na rafiki yake shamim bdae shamim akafanya mapinduzi na ndoa juu, rafiki yake alikua host wa kipindi fulani TBC kilichokua kinadhaminiwa na mfuko mmojawapo wa hifadhi ya jamiiTamaa mbaya huyo demu alimuacha jamaa na mtoto wa kike akaenda kuolewa na wauza unga sasa kiko wapi?
Tujifunze kurithika na tulivyonavyo tamaa mbele mauti nyuma
Hawa wakipaki magari kuingia misikitini wanaheshimika mpaka Sheikh anawatetemekea kwakuwa wanaingiza Swadaka na Zakat wanatoa
Wanajifanya kuona kitimoto na pombe ndio haramu ila heroine na Cocaine sio
Mijusi hii.
ntajie sifa za mwanaume anaejielewa samahani lakini[emoji2][emoji2][emoji2]Ukiona mwanamke anamuheshimu mwanaume anajielewa huyo mwanaume na tofauti na hapo ni kinyume chake
Akiisha kaa kule mda mrefu sheria lazima ageuke tu ni hilo tuMmhh kwani ni msagaji yule, hebu funguka zaidi.
Hata yy alionywa mara kibao, wenzake wote walikimbilia south wengine wakaachana na hii mambo yy naona pressure za matanuzi na mivimbo ikamjaa, nyumba ilipigwa sachi zaidi ya masaa kumi hola mwishoni wazee wakasema ebu tuchek haya magari, wakakuta mzigo umeshonwa kwenye leather seat ya discovery.Ubaya wa hii biashara unaweza kula na system ya wana usalama kwa kitambo kirefu mno, ila uongozi ukibadilika tu unaliwa kichwa chapu, kuna ambao walisanuliwa kuwa mambo sio wakaushe ila huyu bwana anaonesha alikuwa na asili ya kiburi
Jamaa jeuri sana + dharauHata yy alionywa mara kibao, wenzake wote walikimbilia south wengine wakaachana na hii mambo yy naona pressure za matanuzi na mivimbo ikamjaa, nyumba ilipigwa sachi zaidi ya masaa kumi hola mwishoni wazee wakasema ebu tuchek haya magari, wakakuta mzigo umeshonwa kwenye leather seat ya discovery.
Amfanyie wepesi kwa kuharibu maisha ya vijana wa Huyo huyo MUNGU .Kabisa nashangaa watu wanamuongelea tofauti humu kama shetani fulani,kosa lake ni hilo tu kuolewa na shetani mwisho yeye nani asimlinde mume wake tuache kuhukumu tutahukumiwa....Mungu amfanyie wepesi Shamimu kwa kweli!
Tatizo lako nini,nawe si umlaani kwani lazima wote tumuangalie kwa jicho lako!Amfanyie wepesi kwa kuharibu maisha ya vijana wa Huyo huyo MUNGU .
Acha zenu nyie madawa ya kulevya Ni hatari Sana kwa ustawi wa Taifa
Shamimu alikuwa anajua fika mumewe anajohusisha na hayo makitu why hakumbadilisha
Msifanye mna huruma Sana wakati kitaa tunapoteza nguvu kazi
Siku ndugu yako akiingia ulimwengu wa dawa za kulevya ndio utaelewa
Endelea kuuza na kubugiaTatizo lako nini,nawe si umlaani kwani lazima wote tumuangalie kwa jicho lako!