Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Tena nasikia nsembo alikuwa bwana wa shoga ake shamimu (mboni) ndio bibie akaolewa naye kabisa....Kama ni kweli mboni amshukuru Mungu kumuepusha na Shari hii
 
Mpaka amekiri ujue huko ndani kulikua na kuteswa sana pamoja na mkewe
 
Duh! Noma sana, makonda alikuwa anataka kumfunga au pesa
 
Mpaka amekiri ujue huko ndani kulikua na kuteswa sana pamoja na mkewe
Naelewa wanakuwa na mateso makali sana, ila hao hawakuwa wanateswa baada ya kufikishwa mahabusu. Lakini pia ukisema kitu kwa ajiri ya mateso una haki mahakamani kukataaa na kueleza nilisema haya kwasababu walinipiga popo.. lazima ufurukute hata kama unajua unashindwa.. sasa ona maisha hadi afike huko .. alitakiwa aluke luke kama maharage hadi apigwe hata 30 au 15.. na sio maisha..
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake

Acheni kupush ngada. Mtamsingizia Makonda kila kitu badala ya kuacha michezo yenu.

Kimeumana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…