Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Umeongea point kweli....haya mambo ya shotcut au kutaka upige hela ili uje umfirahishe mwanamke unaweza jikuta unaingia sehemu siyo

Ova
Hapo asisingiziwe mwanamke, ni tamaa yake mwenyewe, ukitongoza mwanamke mpenda pesa si unamwacha unatafuta mwingine ? Wanaume waache ujinga tu wasisingizie wanawake, bali akili zao hazina akili !

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Nani kakudanganya adhabu haipungui kama una watoto wanakutegemea?? Sheria inayo huruma ndio maana kuna wakati wa mitigation. Kuna sababu zinazofanya adhabu ipungue. Hapo itakua inaangaliwa mitigating factors vs aggravating factors na sheria inatoa ukomo gani wa adhabu kwa kosa hilo lilofanywa.
Unataka kusema kwamba hawakupewa nafasi ya mitigation, baada ya kuwa convicted? Mitigation inatolewa ukiwa convicted, kabla ya sentence. Hawawezi kumitigate at appeal level.
 
🤣🤣🤣🤣 Mie wala sina shida ya hizo hela mie wanialike tuu kwenye hizo sex party waniambie kijana mbususu ndio kama hivyo unaziona wee sasambua unavyotaka basi. Hela wakae nazo.
😀😀😀😀 vitu vile vya Latino , Colombia, Spaniola , Brazilian .. mbona utapagawaaa aseee 😀😀😀
 
Ukiona Mungu amekuepusha na kitu fulani we shukuru tu maana huwezi kujua ni nini hasa kingekutokea baadae yaani kwenye kila jambo mtangulize Mwenyezi Mungu yeye ndio anajua hatima ya maisha yako ya sasa na ya baadaye. Nimewahi kulala porini siku tatu bila msosi nakunywa tu maji na maji yenyewe ni yale ambayo wanyama wanayanywa plus ndorobo lakini Mungu ni mkubwa. Ni historia ya ukweli kuhusu mimi hata huyo manzi aliyegeukwa hakuyajua haya kama yangemtokea mwenzie aliyemgeuka kwa Bwana yake.
 
Huyo Mboni alivyopokonywa alilia balaa, na kufosi juu arudiwe[emoji16], unaona sasa kumbe alikuwa anaepushiwa na jela la maisha, hii inatufundisha ukiona jambo limegoma achana nalo ukilazimisha yatakukuta makubwaa
Shamim mwenyewe alimkimbia mme wake
AkamfTa nsembo alimuona jamaa wake wa kwanza fala tu

Ova
 
Laiti watu wangejua kuwa sheria ya madawa ya kulevya(biashara haramu) ni hatari kuliko hata biashara yenyewe wasingelithubutu hata kuwakaribia watu wanaodhani au kuhisi wanafanya biashara hii!

Hii sheria ni hatari si kitoto ukiisoma unaweza kuogopa maana hata ukifungwa haichi hata urithi kwa watoto wala wajukuu,,,,yani mali zote zinazo kuhusu zinachukuliwa zote
Kumbe
 
Watu wanasema Shamimu aachwe katika hali ya kawaida ni sawa kusema hivyo, kisheria ni ngumu labda hicho kitumike kumpunguzia walau miaka.

Lakini kabla hajataka kuonewa huruma kwa sababu ana watoto alipaswa kujionea na kuwaonea huruma wanae, angeweza kujiondoa katika maisha ya Abdul, wala asingepoteza pesa sababu angeendelea kutambuliwa kama baby mama na kikombe hiki kwa kiasi fulani angekiepuka na angeendelea kulea wanae.

Wanawake tunapaswa kuwa ahead of time, Leo hii marehemu Ivan angekamatwa kwa makosa ya zamani ya madawa na utapeli, sidhani kama Zari pia angehukumiwa sababu walishaachana kwa maandishi, ni rahisi kujitetea kuwa sikuwa nafahamu aliyokuwa akiyafanya mume wangu.

Anyways.... Shamimu ni mwana kulitafuta, Yeye sa hivi anaenda jela kwa kushirikiana na Mume wakati yule mchepuko mwenye maduka yake "fulani fulani" likiwemo na lile la BigBone sinza Akiendelea kupeta mtaani anaendelea na biashara zake halali na kulea mwanae.

Wanawake tuwe na akili, kama huwezi kumshauri mume aache basi jiachishe, kwa nia njema tu ili uendelee kulea watoto.

Anaweza kupunguziwa kama wakiona kweli kuna sababu za msingi lakini kama wakiona sababu sio za msingi na watoto wanaweza lelewa na ndugu na mama kweli alishiriki hii biashara hata wakikutana majudge wa mahakama ya rufaa hawata chomoka!

Hii sheria ni hatari kuliko biashara ya madawa yenyewe asikwambia mtu sema watu hawaogopi!
 
Hapo kapuka mbona ni kisu hatari kuliko hawa tupo nao hapa kitaa... basi huyo manzi ilikuwa ni machine ya SGR maana bado anang'aaa bwana weeee.. kwanini nisifungwe kwa niaba yake mala moja moja nikija kata magogo uraiani ananipea kiduchu 😀😀😀.. hizi akili sio zangu

Amechuja hapo.
 
Anaweza kupunguziwa kama wakiona kweli kuna sababu za msingi lakini kama wakiona sababu sio za msingi na watoto wanaweza lelewa na ndugu na mama kweli alishiriki hii biashara hata wakikutana majudge wa mahakama ya rufaa hawata chomoka!

Hii sheria ni hatari kuliko biashara ya madawa yenyewe asikwambia mtu sema watu hawaogopi!
Nasemaga kila siku watu wakae mbali na madawa au kama unamjua mtu anafanya biashara hii unaambatana naye,utapoteaaa
Hii sheria kali sanaaa

Ova
 
Mie sio ngumbalo unapoleta kwangu issue za digital au cyber au hayo ma CCTV nayajua mkuu. Ndio maana nikasema wanasheria wake ilibidi wakae na wataalamu kuwapa dondoo.. CCTV camera ina aina ya ushahidi ambao huchomoki na kuna aina ya ushahidi wa CCTV unachomoa hata kama kweli. Siungi mkono wao kufanya biashara haramu, acha wafungwe ila Shamimu nitamtoa tuendeleze bata

Sasa una hakika hayo uliyo yaandika yalitokea?
 
...Ndio nami ninapochoka hapo Mkuu! Gramu chache hizo alizokamatwa Nazo ndio kifungo cha Maisha???
Hawa yunaowasikia kuwa wanavusha kwa magunia na makonteina?
Noma sana grma 30 amekula mvua zote ,sasa wale waliokamatwa na 30kg??
 
Back
Top Bottom