Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Kama unawatetea vile
Ana hoja ya msingi, wakubwa wanaoshiriki wizi wa mabilioni ya umma wapo uraiani na maisha ya bata kama kawa... Mfano waliogawana mabilioni kutoka Mkombozi Bank na issue mpaka ikatua mjengoni si wapo mpaka leo??
 
Watu wanasema Shamimu aachwe katika hali ya kawaida ni sawa kusema hivyo, kisheria ni ngumu labda hicho kitumike kumpunguzia walau miaka.

Lakini kabla hajataka kuonewa huruma kwa sababu ana watoto alipaswa kujionea na kuwaonea huruma wanae, angeweza kujiondoa katika maisha ya Abdul, wala asingepoteza pesa sababu angeendelea kutambuliwa kama baby mama na kikombe hiki kwa kiasi fulani angekiepuka na angeendelea kulea wanae.

Wanawake tunapaswa kuwa ahead of time, Leo hii marehemu Ivan angekamatwa kwa makosa ya zamani ya madawa na utapeli, sidhani kama Zari pia angehukumiwa sababu walishaachana kwa maandishi, ni rahisi kujitetea kuwa sikuwa nafahamu aliyokuwa akiyafanya mume wangu.

Anyways.... Shamimu ni mwana kulitafuta, Yeye sa hivi anaenda jela kwa kushirikiana na Mume wakati yule mchepuko mwenye maduka yake "fulani fulani" likiwemo na lile la BigBone sinza Akiendelea kupeta mtaani anaendelea na biashara zake halali na kulea mwanae.

Wanawake tuwe na akili, kama huwezi kumshauri mume aache basi jiachishe, kwa nia njema tu ili uendelee kulea watoto.
Umeongea point sana hapa[emoji848][emoji848]

Yaan michepuko inakula bata na mimali ya nsembo while mke mnaenda kuteseka wote jela[emoji134][emoji134] C'moon
 
...Ndio nami ninapochoka hapo Mkuu! Gramu chache hizo alizokamatwa Nazo ndio kifungo cha Maisha???
Hawa yunaowasikia kuwa wanavusha kwa magunia na makonteina?
Karibia nusu kilo ya heroine! Sio chache hizo...bahasha ndogo ya A5 inajaa....mara ya mwisho nakumbuka kete (kucha ndefu ya sista du) ilikuwa 2000...sasa huo mzigo utakuwa wa m kadhaa...hata kujitetea kwamba ni kwa matumizi binafsi ni ngumu
 
Sasa una hakika hayo uliyo yaandika yalitokea?
Hujanisoma vizuri mkuu.. mie nili mquote mtu juu. Comment yangu ime base sana kwa nilie mquote mie sina uhakika. Ila kama ni hivyo ndio nikasema kama engetaka ahunei aisingekimbili kukili tayali ile kajimaliza, na DPP huenda alimkusanya kama kijiji jamaa akatapika yote machafu.. na ndio maana wamepigwa kitanzi vizuri.. Siungi ushenzi huu, maana una madhara hasa mie nilishapoteza Bro kwa madawa ya kulevya , ina uma na alikuwa mzigo sana kwetu
 
Back
Top Bottom