Sasa Kwa nini mnaanzisha nyuzi bila kuwa na picha[emoji23][emoji23]Kwani nilikuahidi nitakuletea picha hapa nipo kati kati ya mageti makali nyumba ipo kuleee unaanza anzaje kuingia kwenye makasri ya watu kupiga picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Muleba mjini pa hovyo kabisa watu washamba,ukiacha sijui bar gani ile inaitwa nelphine sijui hakuna sehemu nzuri ya maana,hawajui kupika nimekaa pale zaidi ya wiki huduma za kifedha shida, kutoa milioni moja kwenye simu utazunguka vibanda zaidi ya kumi kupata hiyo hela, Muleba pamezubaa huwezi fanananisha hata na Bomang'ombe.Unajua Muleba ni vijijini lakini?? Usije kuwa unapalingajisha na miji kiongozi. Chagua halmashauri ya wilaya iliyopo vijijini kwenye mikoa yako ufananishe na Muleba. Unafikiri watu wa burudani ni wajinga kuleta matamasha yote hayo Bukoba na Muleba??
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka mnakodi bus hahahahaha Ushamba mzigoSisi hatuna maneno na picha za kudownload mitandaoni. Wachaga mjifunze kitu hapa.
Hapa ni Ruzinga, Kiziba, Missenyi. Ndugu zetu wamekodi basi la Frester kuwatoa Dar kuja kula sikukuu na kuwarudisha Dar! Napiga picha kwa kamera yangu mwenyewe[emoji3][emoji3]
Wachaga kelele nyingi mnabebwa na treni kama mizigo. Umaskini mbaya. Kazi kuokoteza vipicha mitandaoniView attachment 1300331View attachment 1300333
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukipanda kidogo hapo juu Komalagwe unafika kwa mama aisee.
Shughuli zinaendelea kama kawa hapa Marangu, Mtoni.View attachment 1300922
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala hujakosea .Muleba mjini pa hovyo kabisa watu washamba,ukiacha sijui bar gani ile inaitwa nelphine sijui hakuna sehemu nzuri ya maana,hawajui kupika nimekaa pale zaidi ya wiki huduma za kifedha shida, kutoa milioni moja kwenye simu utazunguka vibanda zaidi ya kumi kupata hiyo hela, Muleba pamezubaa huwezi fanananisha hata na Bomang'ombe.
Nimetembea sijui Abagunda, Ishamba hakuna kitu
Mandhari ni sawa na Moshi ila maendeleo Moshi ipo juu.
Kiukweli bukoba na muleba nimependezwa tu na ziwa victoria kwa maana ya view yake.
Hahaha wakazi wake Ni weusi tii[emoji3][emoji3]Wala hujakosea .
Muleba ni wilaya rural yote haina mji mkubwa wowote Bali miji midogo kama muleba,izigo,kaboya,Rulanda, kamachumu nk nk.
Watu wa wilaya hii hutegemea miji ya bukoba na kemondo Kwa accommodation ndo maana kuna daladala nyingi za kwenda vijijin ndan huko na zote hutoka bukoba na sio muleba mjini.
Kimsingi wilaya hii ina utamadun wa kipekee na wilaya nzima kihaya full tena kile cha ihangiro na watu wake ni weusi tii.
Ila ina makazi Bora vijijin na ndo wilaya ya pili kuwa na shule nyingi za msingi baada ya moshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaambiwa dar sehemu uliyokua unaendesha gari masaa 2 sahv Ni nusu sáa tuAysee Marangu hakufai, Dar yote wamehamia huku.
Fungua hiyo Video ujionee.
Ni dinga tu, people have fun out there.
Salute to Moshi vijiijini.View attachment 1304507
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu atakuwa haijui kilimanjaro,yaan. Anasema habari ya maji ya bomba wakati kule kilimanjaro ni tangu enzi za mkoloni yapo? Tena ni natural yanatoka mlima kilimanjaro sio yale ya kwao bukoba ya ziwaniHapana mwayaa kibosho kila nyumba ina maji ya bomba Since 90’s tena ni bure kabisa
Bukoba hahaha hii Ni rasha rasha mkuu
Wanasema tembea uone ,moshi vijijini maji unakinga tuu bombani na kunywa kama ulaya vileHuyu atakuwa haijui kilimanjaro,yaan. Anasema habari ya maji ya bomba wakati kule kilimanjaro ni tangu enzi za mkoloni yapo? Tena ni natural yanatoka mlima kilimanjaro sio yale ya kwao bukoba ya ziwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi kuna International AirportHii route ya Dar bukoba inazidi kuwa tamu Kwa ndege.
Abiria hawakomi!!
Sasa hiv air tz inaenda mara tatu Kwa siku.huku precision na auric zikizidi kuchanja mbuga kila siku.
Rais magu nadhan anajuta kuacha kujenga uwanja mkubwa wa omkajunguti na kukimbilia chato[emoji23][emoji23]
Bukoba airport hiyoView attachment 1304765
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji yamliman hufanya Meno yenu yaungue.Huyu atakuwa haijui kilimanjaro,yaan. Anasema habari ya maji ya bomba wakati kule kilimanjaro ni tangu enzi za mkoloni yapo? Tena ni natural yanatoka mlima kilimanjaro sio yale ya kwao bukoba ya ziwani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wap wakati barabara ya sinza ilikuwa haipitiki kabisa na kuna magari yameanguka mitaron!!Unaambiwa dar sehemu uliyokua unaendesha gari masaa 2 sahv Ni nusu sáa tu
Na watu wanalalamika uchumi umeyumba dar kwasabb wachaga wameondoka
Magari foleni Hakuna kabisa dar,aisée tumetishaaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha unasemaje eti?Wap wakati barabara ya sinza ilikuwa haipitiki kabisa na kuna magari yameanguka mitaron!!
Sam nujoma na mlimani city ilikuwa imejaa mifoleni kibao!!
Kariakoo biashara zilikuwa kama kawaida.
Bado foleni ya mbezi kimara hapo
Bila kusahau tazara folen zilikuwepo zile mbaya.
Acheni kujimwambafy hapa hamna effect yoyote kwenye hili jiji Kwanza biashara zenu wakinga ndo wamekamata huko tazama kariakoo.
Afadhali yetu sie tuliokumbatia vitabu mpaka magu anajuta kuhamishia bajeti ya omkajunguti international airport chato[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio maji ya mlimani yanayofanya meno yaungue Kama hujui ulizaMaji yamliman hufanya Meno yenu yaungue.
Ushawahi kuona mtu wa bukoba Meno yameungua?
Sent using Jamii Forums mobile app