Nawakumbusha ndugu zetu.
Hapa sio ulaya ni Kibosho, kijijini.
View attachment 1298190View attachment 1298191
Sent using Jamii Forums mobile app
Nasema Hiviiiiiiiiiii.....!
Moshi BABA LAO.
View attachment 1298186View attachment 1298187View attachment 1298188
Sent using Jamii Forums mobile app
Naonaga uchagan yote ni nyumba ya mengi Tu.Toa uchafu wako, angalia hapo chini.
Warning: Moshi ni Bustani ya Eden bila ubishi sio mlima tu angalia mandhari ya Natural hot springs.
#kikuletwa natural hot springs.View attachment 1298179View attachment 1298180View attachment 1298182View attachment 1298183View attachment 1298184View attachment 1298185
Sent using Jamii Forums mobile app
Old school [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Naonaga uchagan yote ni nyumba ya mengi Tu.
Ukitaka kuanzisha ligi utaiona kabisa
Mbona utakimbia UziView attachment 1298207View attachment 1298217View attachment 1298213
Sent using Jamii Forums mobile app
Utalikutia wapi zaidi ya jamaa wa bukoba kuweka picha ya ghorofa la Mama Tibaijuka ambalo lipo kama Godauni la kuhifadhia viroba vya K-Vant.Old school [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Bukoba nzima hadi mjini kuna Hekalu Kama la mengi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchaga na Mhaya hawawezi kushindanishwa kwenye biashara, makazi bora na utunzaji mazingira.
Wahaya labda mjivunie kuwa na watu wengi wenye Elimu ya juu.
Ukweli uachwe ubaki kuwa ukweli.
Mimi sio Muhaya wala Mchaga
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa uchafu wako, angalia hapo chini.
Warning: Moshi ni Bustani ya Eden bila ubishi sio mlima tu angalia mandhari ya Natural hot springs.
#kikuletwa natural hot springs.View attachment 1298179View attachment 1298180View attachment 1298182View attachment 1298183View attachment 1298184View attachment 1298185
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipo Hapa Hadi 5/1/2020.. Karibu SanaHawajiamini...... Ila niliambiwa nyama zipo chini, let me wait...
Nasema Hiviiiiiiiiiii.....!
Moshi BABA LAO.
View attachment 1298186View attachment 1298187View attachment 1298188
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huu Uzi unasema Shamshamra za Sikukuu Kilimanjaro 2019.. Ila naona wewe umeamua kuja na picha za nyumba Muleba huko sijui wapi? AU ni mimi sijaelewa Mkuu?Sample ya nyumba zilizopo vijijin.
Panda gari toka anzia muleba mjini Hadi bunazi huko misenyi ukikutana nyumba mbovu au ya nyasi naacha.
Bila Shaka mnaona uhalisia wa kagera na ndizi zetu na migomba sio hao wanaopost wazungu wavaa chupi wanaopanda mlimani.View attachment 1298100View attachment 1298102View attachment 1298101View attachment 1298103View attachment 1298105View attachment 1298106
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ya mengi ni Hotel?Mimi sipost hizi za watu nisiowajua za mitandaoni. Haya majumba ya mahotel hapana aisee. Wachaga mna kelele nyingi ila kwa mtu mweye akili ya kufatilia atagundua hamna kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona rohoo inakuuma hivyo nshomile?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].Tumekataa picha za mitandaoni za kuedit na photoshops. Hivi nyie hamna simu? Au simu zenu hazina camera??
Mmesema wenyewe ni uzi wa picha za amsha amsha za X mas huko kwenu migombani. Naona mnatupakulia picha tu mitandaoni. Mchaga hoi[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila huu Uzi unasema Shamshamra za Sikukuu Kilimanjaro 2019.. Ila naona wewe umeamua kuja na picha za nyumba Muleba huko sijui wapi? AU ni mimi sijaelewa Mkuu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba ya mengi ni Hotel?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Ficha aibu, wahaya wenzako wanakucheka kimya kimya.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona rohoo inakuuma hivyo nshomile?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Imepenya Hiyoooooo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Himo njia panda mkuu
X Mass ishanukia hapa Ruzinga, Missenyi. Mkaribie wapendwa ma great thinkers wa JF View attachment 1298257
Sent using Jamii Forums mobile app
MsingaHii ni kibosho juu, jirani kuna Hospitali nzuri sana
Hilo kanisa ni la miaka ya 1800's
Sent using Jamii Forums mobile app