Shamsa Ford adaiwa kuiba bwana wa Wolper

Shamsa Ford adaiwa kuiba bwana wa Wolper

Wolper anagongwa na kila mtu hana mwenyewe bhanaaaa!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Halafu Shamsa ni bingwa wa kuachwa hapatagi bahati hata ya kuvalishwa pete.Bora mwenzie wolper anapataga bahati ya kubadilisha dini na kuvalishwa pete.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mmenivunja mbavu nyie watu.
 
Huyu Dada akiwaga mapenzini ana mashauzi debe, subiri wambwage anatia huruma utafikiri muda wake wakufa umekaribia.
Mwenzangu!Sio kwa mashauzi yale ya baba Terry.
Kuja kuachana ndio kusema mambo chungu nzima!
Ooooh hakuwa na kazi mimi ndiye niliyekuwa namlisha...oooh alikuwa mlevi ananipiga sana.

Ila Shamsa anajua kupenda kweli.
Natamani huyu Chidi amuoe tu dada wa watu.
 
Ivi NY Na Shamsa walitosana kwa kisa gani Maana walitingisha penzi Zao..@ even salt Na Warumi mwageni Umbeya wa mujini
 
Wolper Na Harmonize jamani imekwendajee siwaoni au Ubuyuu wa Mjini umenipotea kwa kuwa nilikuwa navuna shamba??
 
Huyu Dada akiwaga mapenzini ana mashauzi debe, subiri wambwage anatia huruma utafikiri muda wake wakufa umekaribia.
kwakweli na anamrudiaga mungu pia,😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Huyu Chidi bwana...
Kaanza juzi kama utani sasa hivi anawabadili tu kama nguo.
Wadada wa bongo movie ukimiliki duka la nguo utawakimbia mwenyewe...
Mwanzoni huwa wanaanza kutangaziana biashara,haupiti muda unasikia ni wapenzi.
Kama huyo Wolper katoka nao wengi sana.

Achana na huyo Chidi Mapenzi,Gee Model alishatoka nae pia.
Ila jamaa alitaka kumuweka ndani kilichomkwamisha ni ukoboaji wa Wolper.
Alijitahidi kwa kila namna akashindwa kumbadilisha.
Jamaa kaanza kuwanyoosha muda tu labda kwasababu hakuwa maarufu, nmeishi naye mtaa mmoja guangzhou,ameanza kuwa connected nawasanii tokea enzi hizo hata duka hana.yule aunty ezekieli ashampitia pia,na wengine kibao.usione hawa wasanii wakike wanawaka na kubadilisha pamba deile,wala huwa hawazinunui
 
Jamaa kaanza kuwanyoosha muda tu labda kwasababu hakuwa maarufu, nmeishi naye mtaa mmoja guangzhou,ameanza kuwa connected nawasanii tokea enzi hizo hata duka hana.yule aunty ezekieli ashampitia pia,na wengine kibao.usione hawa wasanii wakike wanawaka na kubadilisha pamba deile,wala huwa hawazinunui
Mimi huyu Chidi nimeanza kumsikia miaka ya 2012/13 hivi...
Watajijua wenyewe bwana.
Rumours are jamaa kaungua
[emoji126][emoji126][emoji126]
 
Mimi huyu Chidi nimeanza kumsikia miaka ya 2012/13 hivi...
Watajijua wenyewe bwana.
Rumours are jamaa kaungua
[emoji126][emoji126][emoji126]
Heheh jamaa alikuwa na bode sana,mkono mkono labda ameacha mazoezi kakonda ndo maana wanahisi hivyo.hata ivyo ukimwi skuiz sio ishu.kansa ndo inaogopwa
 
Ila kawanyoosha sana uchinani,yaani sidhani kama kuna mdada mzuri aliyeishi GZ from 2012-2014 ambaye hakumpitia.hasahasa wale wauza k na punda wa unga,wadada walikuwa wanamwelewa eti kisa anapiga sana deki[emoji2].daah na mie nshakuwa mmbea
 
Halafu Shamsa ni bingwa wa kuachwa hapatagi bahati hata ya kuvalishwa pete.Bora mwenzie wolper anapataga bahati ya kubadilisha dini na kuvalishwa pete.
Ha ha haaaaaaaa. Atakuwa hawashawishi hata kumvisha pete
 
Ukishangaa ya chidi Mapenzi,usisahau ya Harmonize. Nyimbo moja tu wolper kamchukua kumbemenda. Sijui akili zao zimewekwa wapi? Halafu mwisho wa mapenzi yao wote huwa wanaanza kulialia.
 
Back
Top Bottom