Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Mara baada ya msanii Shamsa Ford kumpost Irene Uwoya na kumsifia kwamba ni mzuri kuliko msanii yeyote yule wa kike wa bongo muvi , amepokea matusi ya nguoni DM kutoka kwa wasanii wenzake kitendo ambacho kimemsononesha sana Shamsa na kudai wasanii waache roho mbaya.
Ila wanawake daah mmezidi rohombaya.
Yaani kusifiwa kidogo tu mwenzenu mnataka kumtoa roho shamsa[emoji19] [emoji19] [emoji19]
Ila wanawake daah mmezidi rohombaya.
Yaani kusifiwa kidogo tu mwenzenu mnataka kumtoa roho shamsa[emoji19] [emoji19] [emoji19]