jun255
JF-Expert Member
- Nov 14, 2015
- 391
- 280
WASANII NA MAPENZI YA MAIGIZO
Kuna mtu alishswahi kusema " siwezi kuwa na mpenzi mwigizaji kwani nahisi atakua ananiigizia"
Jumapili iliyopita huo msemo nilipata nafasi ya kuushihudia kwa macho yangu!!
Jumapili niliona nikapumzishe akili yangu kidogo baada ya mihangaiko ya wiki nzima.
Nikaenda zangu Mbezi pale Jangwani sea breez kupumzika!
Nikiwa nimepumzika kwenye kabed kamoja pembeni yangu ikaja njemba na dem na kutumia kibed cha pili.
Sikuwa makini nao ila kuna mda nikageuka na kuwaangalia kwani walizidsha mahaba.
Lahaulah! Lakwata! Nikashuhudia njemba moja hivi baunsa iikiwa na Shamsa Ford! Huyu dada mwigizaji.
Kwanza nilidhani nimekosea kuangalia!! Nikaangalia kwa makini ndo yeye.
Walikaa pale zaidi ya masaa matatu!
Jamani kwa jinsi Shamsa alivyokuwa anadeka na kuonesha mahaba utadhani kafa kaoza kwa yule jamaa!! Yaani ungeyaona yale mahaba nadhani ungefikiri wana miaka wakiwa wapenzi.
Nikajiuliza hivi huyu Shamsa si ameachana na Ney wa Mitego juzi tu jaman???! Tuseme mtu anaweza kukolea kwa siku mbili kiasi kile?
Hapo kuna mawilu! Aidha Shamsa alikuwa anamuigizia Ney kipindi yupo nae ila kwa siri alikuwa na huyu mwanaume au pale alikuwa anamuigizia yule mwanaume ili amchune vizuri pesa zake?
Ila kwa yale mahaba! Mmmmmmh!! Hapana si bure!
Hapo ndo usemi wa ukiwa na muigizaji anaweza kuwa anakuigizia nilipouhakikisha!!
Kuna mtu alishswahi kusema " siwezi kuwa na mpenzi mwigizaji kwani nahisi atakua ananiigizia"
Jumapili iliyopita huo msemo nilipata nafasi ya kuushihudia kwa macho yangu!!
Jumapili niliona nikapumzishe akili yangu kidogo baada ya mihangaiko ya wiki nzima.
Nikaenda zangu Mbezi pale Jangwani sea breez kupumzika!
Nikiwa nimepumzika kwenye kabed kamoja pembeni yangu ikaja njemba na dem na kutumia kibed cha pili.
Sikuwa makini nao ila kuna mda nikageuka na kuwaangalia kwani walizidsha mahaba.
Lahaulah! Lakwata! Nikashuhudia njemba moja hivi baunsa iikiwa na Shamsa Ford! Huyu dada mwigizaji.
Kwanza nilidhani nimekosea kuangalia!! Nikaangalia kwa makini ndo yeye.
Walikaa pale zaidi ya masaa matatu!
Jamani kwa jinsi Shamsa alivyokuwa anadeka na kuonesha mahaba utadhani kafa kaoza kwa yule jamaa!! Yaani ungeyaona yale mahaba nadhani ungefikiri wana miaka wakiwa wapenzi.
Nikajiuliza hivi huyu Shamsa si ameachana na Ney wa Mitego juzi tu jaman???! Tuseme mtu anaweza kukolea kwa siku mbili kiasi kile?
Hapo kuna mawilu! Aidha Shamsa alikuwa anamuigizia Ney kipindi yupo nae ila kwa siri alikuwa na huyu mwanaume au pale alikuwa anamuigizia yule mwanaume ili amchune vizuri pesa zake?
Ila kwa yale mahaba! Mmmmmmh!! Hapana si bure!
Hapo ndo usemi wa ukiwa na muigizaji anaweza kuwa anakuigizia nilipouhakikisha!!