Ukitaka kupata Ubuyu safi na Usio na hofu unaweza kumcheki kwa namba hiyo..
Shamsa ford ni mkazi wa kundi la wasanii wanaojirahisisha hapa town
List ni ndefu sana
Kifupi wasanii wetu chenga afu wawe makini kifo kipo kila chobingo
Eeh nasikia wameachana. Nay anasema ukiuza alteeza Shurti ununue prado au BMW. Now Nay yupo na starlishaNay kaachana na Shamsa Ford?