Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

Shamsa Ford: Nina mume ila nikipata bwana, naolewa

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
1691872796704.png
Hawa ma celeb wa Tanzania ni uchafu, huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa.

Huyu mwigizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha Ubaoni cha Channel ya Sinema Zetu anasema live kuwa ana mume anaishi naye ila wapo wapo tu, na kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe.

Huwa akili wanapeleka wapi?

USSR
 
Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.

Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye

Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
 
Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.

Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye

Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Kwahiyo 300k kalipia mbususu🙂?
 
Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.

Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye

Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
🤣🤣🤣 Kumbe?
 
Hawa ma celeb wa Tanzania uchafu huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa .

Huyu mwingizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha ubaoni Cha channel ya cinema zetu anasema live kuwa anamme anaishi naye ila wapo wapo tu ila kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe .

Huwa akili wanapeleka wapi akipigwa ngeta utasikia eti ukatili wa kijinsia

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Ahaha je kama ana maanisha mme wa mtu? 🤣

Celebrate ambae nasikiliza interview zake Aunt ezekiel anajua kujibu maswali kwa ufasaha
 
Back
Top Bottom