and 300
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 26,398
- 36,406
Labda alipewa majibu yake na tembe/karangaAhahah ajafika uko bhna huyo tangu amzae cookie kabairiika sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda alipewa majibu yake na tembe/karangaAhahah ajafika uko bhna huyo tangu amzae cookie kabairiika sana
Ila kwasasa yule ndio star ambaye interview zake zinaelewekaLabda alipewa majibu yake na tembe/karanga
Mrs Wozu alikua anachaji 1m kupitia dalaliMastaa wengi ndivyo wanavyo liwa
😂😂😂 mpaka leo bado unafikiri lile gar limeokotwa?Mrs Wozu alikua anachaji 1m kupitia dalali
Anatafuta maokoto huyokivipi
Pesamaokoto ni nini?
Ameingilia maisha amemfuata chumbani.!!! Statement mtu kaitoa hadharani ktk chombo cha habari wacha watu wacomment maoni yao usiingilie uhuru wa watu kutoa maoni yao.Achani kuingilia maisha ya watu. Vipi kama hayo ndo makubaliano aliyonayo na huyo bwanaake?!
Exactly. Nimemfatilia sana post zake hicho ndo anachosema.sijaelewa, kwamba yeye ni single maza anadanga ili apate hela za kutunza watoto?
Wapo wanaokataa ila wachache ila wengi wao hawapindui kwenye helaKwahiyo hela hata km ni demu wako anagongwa.
Ametengewa 300k mezani, hakuna mwanamke anayeweza kukataa.
Fanya research utaniambia, hata km ni mke wa mtu.
Hiyo ni kumi kwa mmojaWapo ila hawazites wametuulia na mmoja
Kwa kizazi hiki ambacho hela ndiyo kila kitu?Wapo wanaokataa ila wachache ila wengi wao hawapindui kwenye hela
Sahihi Mkuu, jambo hili la kutanguliza pesa kwa wanawake wengi hufanya Vijana wetu wajihisi hawana nguvu za kutosha siku hiziKwa kizazi hiki ambacho hela ndiyo kila kitu?
Sijui nani ataweza kupindua lbd umkute yupo vizuri kwenye hela na kwao ni matajiri.
Mi kuna muhuni wangu alitumia kama 1250000 kumla na kumrekodi video...wanatia aibuAmejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.
Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye
Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Usimhukumu sana kwahiyo hela ndugu. Weka hata 400k halafu ingia mtaani, utakula pisi yyte unayoitaka. Mwanamke kupanua mapaja siyo kaziMi kuna muhuni wangu alitumia kama 1250000 kumla na kumrekodi video...wanatia aibu
Hajakosea, yuko sahihi. Yaani hawa wana share getto ili kupunguza makali ya kodi ya chumba. Kwa hiyo mzigo wanakulana mmoja wao akitaka.Hawa ma celeb wa Tanzania uchafu huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa .
Huyu mwigizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha Ubaoni cha Channel ya Sinema Zetu anasema live kuwa ana mume anaishi naye ila wapo wapo tu ila kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe .
Huwa akili wanapeleka wapi akipigwa ngeta utasikia eti ukatili wa kijinsia
USSR
Issue Ni kwanini akubaliwa kurekodiwa.!!?Usimhukumu sana kwahiyo hela ndugu. Weka hata 400k halafu ingia mtaani, utakula pisi yyte unayoitaka. Mwanamke kupanua mapaja siyo kazi
Hiyo hela hata ukimpa mpenzi wako unayemuamini sana lazima aliwe.
Mwanamke na pesa ni sawa na samaki na maji.
Acha mkuu jiwe tatu tu ebu fanya connection ya huyo dalali bwana nami nijilie wa kwenye video.Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.
Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye
Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Mwanamke ana kichaa cha pesa. Ukimpa pesa mwanamke ndiyo ana amini unampenda.Issue Ni kwanini akubaliwa kurekodiwa.!!?
Hahaha......miaka 4 iliyopita ndiyo jamaa angu alifanikiwa kulala naye kwa hicho kiasi
Kwasasa huenda ndiyo itakuwa imeshuka