bongo dili
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 12,350
- 25,180
Ujamuelewa labda yupo sahihi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujaona kuna mwingine huko juu alipigwa 1.25M
Ishu ya bei inategemea na uwezo wa ku-bargain
Hahaha...........muhimu kuwaendea taratibu, otherwise wanaweza kufirisikabisa, ukienda kichwa kichwa unapigwa na kitu kizito. Ila kuna wahuni wanawala hawa kwa bei za mitaani kabisa
Magazeti ya kijiji mnanunua kwa Bei hio pesa za kuchezea mnazo.Hujaona kuna mwingine huko juu alipigwa 1.25M
Ishu ya bei inategemea na uwezo wa ku-bargain
😂😂😂 Watu wamevurugwa kwa hio sasa hivi hajaolewa yupo kwenye 'Sogea Tuishi'ana mume anaishi naye ila wapo wapo tu ila kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe
Bei elekezi ni ngapi? Tag locationMagazeti ya kijiji mnanunua kwa Bei hio pesa za kuchezea mnazo.
Njooni fully moon hio Kila siku unatoa jasho tu na change zinabaki
HAhahaHawa ma celeb wa Tanzania uchafu huyu dada nilikuwa namuona ana akili lakini bure kabisa .
Huyu mwigizaji akijibu maswali ya waendesha kipindi cha Ubaoni cha Channel ya Sinema Zetu anasema live kuwa ana mume anaishi naye ila wapo wapo tu ila kama atapata mtu mwingine wataachana aolewe .
Huwa akili wanapeleka wapi akipigwa ngeta utasikia eti ukatili wa kijinsia
USSR
Bei elekezi ni ngapi? Tag location
Ndiyo hii ya Kendwa, Zanzibar?
Dar msasani fika tafuta bodaboda akupe locationNdiyo hii ya Kendwa, Zanzibar?
Okay, inaonekana pako njema. Hapo ni mfuko wako tuDar msasani
Noma sana!Amejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.
Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye
Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
badili marafiki mkuuAmejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.
Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye
Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Hatari Mkuu🙌Noma sana!
kazi kwako "Full Moon Massage Spa – Outcall Massage is avalaible" "Full Moon Massage Spa – Outcall Massage is avalaible" Full Moon Massage Spa – Outcall Massage is avalaibleNdiyo hii ya Kendwa, Zanzibar?
Hahahaha..........marafiki wengine unawasikiliza then unaachana naobadili marafiki mkuu
Kweli Vijana wanafaidikazi kwako "Full Moon Massage Spa – Outcall Massage is avalaible" "Full Moon Massage Spa – Outcall Massage is avalaible" Full Moon Massage Spa – Outcall Massage is avalaible
Celeb wengi ni magazeti yenye shombo la samakiOkay, inaonekana pako njema. Hapo ni mfuko wako tu
huyo jamaa yako bado anaushamba wa pesa na chembechembe za uchangudoa ,huwezi kuwa na akili timamu kisa una vilaki 3 mfukoni unanza kuwinda wake za watuHahahaha..........marafiki wengine unawasikiliza then unaachana nao