Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Ni sahihi Mkuu, unakuta wametumika hadi basi 🙌Celeb wengi ni magazeti yenye shombo la samaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sahihi Mkuu, unakuta wametumika hadi basi 🙌Celeb wengi ni magazeti yenye shombo la samaki
Kuna maCeleb siwezi kuwataja hapa, wamepandishwa ndege sana kuwapelekea wahuni mambo.huyo jamaa yako bado anaushamba wa pesa na chembechembe za uchangudoa ,huwezi kuwa na akili timamu kisa una vilaki 3 mfukoni unanza kuwinda wake za watu
hizi pesa sijui kitu gani dunia adaa walimwengu ni shujaKuna maCeleb siwezi kuwataja hapa, wamepandishwa ndege sana kuwapelekea wahuni mambo.
Nimebahatika kusafiri nao mara kadhaa, alafu hata hawajali kuvaa kihasara-hasara
Hahahahahaa....jamaniAmejaribu kuonesha kuwa Wanaume tunapaswa kutafuta hela kila siku.
Hiyo wanayo Wanawake wengi sana siku hizi.
Tena bora yeye amesema live ila kuna wengine hawasemi lakini wanakiuza kila siku, ukitaja dau tu unaenda naye
Nakumbuka kuna jamaa angu alitembea naye huyu Shamsa kwa 300k tu ingawa alipitia kwa dalali
Ipo kitambo, sema ilikua haijapewa jina. Hizi tabia hazina upya.Kuna Open Relationship what if ndio wamekubaliana nayo? Siku hizi wameleta nyingine inaitwa Throuple
Noma sana!Hiyo ya Mobetto naisikia kwako kwa mara ya pili.
Ila wanahitaji confidential hasa hotel za nyota 3 hadi 5
😅🏃🏃🏃Hahahahahaa....jamani
Hatari sanaNoma sana!
Hiyo saloon yao pendwa ya Sinza inaitwaje?Sina mawasiliano yake huyo dalali, but ukienda Sinza ile saluni yao pendwa lazima utapata mtu kati wa kukuunganishia.
Ila wanahitaji privacy pia
Ipo kinondon bhna bonita saloonHiyo saloon yao pendwa ya Sinza inaitwaje?
Ipo Sinza ipi? Sinza Kumekucha,Sinza Africa sana au Sinza Madukani?
Unakuta wengi hawana shughuli halali za kuwaingizia kipatohizi pesa sijui kitu gani dunia adaa walimwengu ni shuja
Noma sana!Pana celeb mmoja kupitia dalali dollar elf 2 anakuuzia gazette la jioni unasoma unaacha.
Sishangai maana Hawa wasanii kuwaata ni rahisi Dana mradi TU uwe na dalali wa uhakika kabisaa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji28][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]wanajua mapenziPana celeb mmoja kupitia dalali dollar elf 2 anakuuzia gazette la jioni unasoma unaacha.
Noma sana!Ipo kinondon bhna bonita saloon
Kuna dem nilikuw namuaproach akakibali vizur sana tumekaaa nakuja kugundua dem ni selfish kinoma nimepiga chini bila yeye kujua up nowMi nafikiri na sisi wanaume tubadilike tuwe ma selfish yaani mke mnafunga mkataba kabisa kila mtu ajiudumie na akae kwake
Uko sahihi, muhimu dalali tuSishangai maana Hawa wasanii kuwaata ni rahisi Dana mradi TU uwe na dalali wa uhakika kabisaa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji2]