kwanza mambo ya ushoga ukiyaendekeza utakuja juta siku moja,wengi wanaachika kwasbb ya mashoga au kuharibiana mambo fulani flani hlf hao hao bdae wanakucheka,m mwnyw sina shoga ila n baadhi ya w2 nnaojuana nao tu sitaki mtu wakunijua kiundani kiivyo.
Lol duu ndi kwanza nisikie nyota ya mende ikoje?Yeye na ucheusi dawa wake atamtaka nani mjini apa, nyota yenyew ya mende
Lipo kama livuta bangi flan , jeusi ka miguu ya nyota ya ndogo
Binamu kwanini huwapendi wanawake weusi? unataka wote wapake mkorogo!!!
Ahsante kwa jibu lako, nadhan kashakusoma
Ahaha ahaha, sura ka tak0 la khadija kopa, kakomaa kama mihogo ya kimbiji, ndo maana mastaa hawashobok
Hilo nalo neno.......nakupa LIKE..............Inang'ara chooni tu
Mume mwenyewe marioo sh mia hana ye aka act aje kumpa amtake nani