kwanza mambo ya ushoga ukiyaendekeza utakuja juta siku moja,wengi wanaachika kwasbb ya mashoga au kuharibiana mambo fulani flani hlf hao hao bdae wanakucheka,m mwnyw sina shoga ila n baadhi ya w2 nnaojuana nao tu sitaki mtu wakunijua kiundani kiivyo.
Well said