πππ mkuu umetishaMfano mzuri wa Chawa ni Lemutuz na Jerry Muro.
Lemutuz na Jerry Muro ni chawa wa Bashite.
Ndio mkuu ana ford moja kali kapewa kutoka familia ya ford usa piaa alishakaa huko kitamboNi mmoja wa wanafamilia wa Ford USA?
Noma sana!Parasite.
Mtu tegemezi, kula kulala kwa hisani ya anayemfuga.
Acha mambo yako,njoo kwangu nikupe!!Nataka kijana wa kumfuga, but awe mahiri kwenye ile nyanja yetu pendwa!!!!ππ
Hili tangazo nilichelewa kuliona muheshimiwa.Nilikuwa nauliza tu kama nafasi bado ipo!πππππNataka kijana wa kumfuga, but awe mahiri kwenye ile nyanja yetu pendwa!!!!ππ
Thread ya mwaka jana hii. hahahahahahhah, sijui tu nani kafukua mahandaki. tehe tehe teheHili tangazo nilichelewa kuliona muheshimiwa.Nilikuwa nauliza tu kama nafasi bado ipo!πππππ
Kwa hiyo kwenye hilo "handaki" simkuti kuruta "mwenzangu" tujifunze kulenga shabaha Kilimahewa?Thread ya mwaka jana hii. hahahahahahhah, sijui tu nani kafukua mahandaki. tehe tehe tehe
Kama Petit man mume wa Esma πParasite.
Mtu tegemezi, kula kulala kwa hisani ya anayemfuga.
Nataka kijana wa kumfuga, but awe mahiri kwenye ile nyanja yetu pendwa!!!!ππ