Shamsa Ford: Vijana wengi wa kiume wa Dar ni wambea, chawa na VibenTen.

Shamsa Ford: Vijana wengi wa kiume wa Dar ni wambea, chawa na VibenTen.

Duh hivi mumewe ana hio elimu anayoisemea? Anyway shamsa hivi unafahamu kuwa hao viben ten wengi ndo graduate wamekosa ajira miaka na miaka serikali haijatoa nafasi za kutosha so vijana wameamua kujiari kwenye umbea wapate hata matangazo watangaze kwa pesa. Je shamsa unafahamu hao unaowaita hawajasoma wengi ndo wanaongoza kwa pesa geukia chibu hana elimu ila kipaji na ujuzi vimemsaidia,geukia mpambe steve kila siku anapata dili mpya iwe rambi rambi,ukuwadi etc

All in all congrats kwa kujitambua kwenye malezi ya mwanao.
hahaaa mumewe mwenyewe alikuwa mdananda ile mbaya ""enzi hiyo alikuwa mmachinga .k.koo"" chidy elimu aitoe wapi "" hata darasa la 7 kama alimaliza
 
Yaani hapo sio kwamba ale tu ugali wangu bure, ajue lazima anifikishe hadi kilele cha Mawenzi aau Kibo hahahahahaah
duuuhh..Nina rafiki yngu mcongo hii ndio taaluma Yke ngoja nimlengeshe kwako
 
Huyu naye mdangaji asituzingue [emoji57][emoji57]kavaa vinguo vifupii weeee kapata bwana wa kumuoa anajiona sasa ni "mama ushauri" aanze kuwafunda wadangaji wenzake wakina tunda gigy na wengine wa Instagram
 
Achana na hawa wa dar ambao eti chapati moja hamalizi!
Njoo kwa Si wa mikoani
Kifungua kichwa chetu
img_BkZ1u07AohJ.jpg
 
Hahahaha
Kaaazi kweli kweli walahi
 
Back
Top Bottom