Duh hivi mumewe ana hio elimu anayoisemea? Anyway shamsa hivi unafahamu kuwa hao viben ten wengi ndo graduate wamekosa ajira miaka na miaka serikali haijatoa nafasi za kutosha so vijana wameamua kujiari kwenye umbea wapate hata matangazo watangaze kwa pesa. Je shamsa unafahamu hao unaowaita hawajasoma wengi ndo wanaongoza kwa pesa geukia chibu hana elimu ila kipaji na ujuzi vimemsaidia,geukia mpambe steve kila siku anapata dili mpya iwe rambi rambi,ukuwadi etc
All in all congrats kwa kujitambua kwenye malezi ya mwanao.