Shamsa Ford: Vijana wengi wa kiume wa Dar ni wambea, chawa na VibenTen.

Shamsa Ford: Vijana wengi wa kiume wa Dar ni wambea, chawa na VibenTen.

Da watu watampinga lakini kasema ukweli huyu mdada
 
sisi wa mikoani tunaoishi dar, hii haituhusu.
 
Duh hivi mumewe ana hio elimu anayoisemea? Anyway shamsa hivi unafahamu kuwa hao viben ten wengi ndo graduate wamekosa ajira miaka na miaka serikali haijatoa nafasi za kutosha so vijana wameamua kujiari kwenye umbea wapate hata matangazo watangaze kwa pesa. Je shamsa unafahamu hao unaowaita hawajasoma wengi ndo wanaongoza kwa pesa geukia chibu hana elimu ila kipaji na ujuzi vimemsaidia,geukia mpambe steve kila siku anapata dili mpya iwe rambi rambi,ukuwadi etc

All in all congrats kwa kujitambua kwenye malezi ya mwanao.

Hivi wewe unayeng‘ang‘ania kuwa Serikali itoe Ajira itatoa wapi. Huku ulaya ajira ni kwa makampuni private zaidi . Elimu gani ya vyeti mkipewa kazi breakfast 2 hours. Lunch 4 hours simu 2 hours mwisho wa Siku Zero Hakuna ubunifu yani ofisi haina jipya. So jitahidi kuangalia pia Sisi Watz wenyewe ndo tunaangusha Nchi Sio kila Siku neno Serikali as if ni God.
 
Hivi wewe unayeng‘ang‘ania kuwa Serikali itoe Ajira itatoa wapi. Huku ulaya ajira ni kwa makampuni private zaidi . Elimu gani ya vyeti mkipewa kazi breakfast 2 hours. Lunch 4 hours simu 2 hours mwisho wa Siku Zero Hakuna ubunifu yani ofisi haina jipya. So jitahidi kuangalia pia Sisi Watz wenyewe ndo tunaangusha Nchi Sio kila Siku neno Serikali as if ni God.
Umenena kweli mkuu
 
Kweli kabisaa....namsapoti!hata humu jf wapoo..am sorry am not offending u but kuna mpk wajiuliza wanaume ndo wa wanaongoza kuanzisha nyuzi za kimbeambea tuu
 
Daah hili povu si la kitoto halafu ulaya na africa ni maji na mafuta
Hivi wewe unayeng‘ang‘ania kuwa Serikali itoe Ajira itatoa wapi. Huku ulaya ajira ni kwa makampuni private zaidi . Elimu gani ya vyeti mkipewa kazi breakfast 2 hours. Lunch 4 hours simu 2 hours mwisho wa Siku Zero Hakuna ubunifu yani ofisi haina jipya. So jitahidi kuangalia pia Sisi Watz wenyewe ndo tunaangusha Nchi Sio kila Siku neno Serikali as if ni God.
 
mashallaaaah achana na wanaotafuta viben ten kipenzi changu .
Naanzaje kwa mfano mwanaume shabab wa kunigeuza geuza kama chapati kitandani ninae.nkitembea natembea kifua mbele kwa kiburi unachonipa,sijasema nataka kenda saloon muamala umesoma,Mungu labda anishushie gunia la misumari tena,kwako nimefika sitoki nasiruhusu utoke
 
Naanzaje kwa mfano mwanaume shabab wa kunigeuza geuza kama chapati kitandani ninae.nkitembea natembea kifua mbele kwa kiburi unachonipa,sijasema nataka kenda saloon muamala umesoma,Mungu labda anishushie gunia la misumari tena,kwako nimefika sitoki nasiruhusu utoke
Hahahaaa usintie majaribuni mpenzi. Ujue mafisi mengi yamo humu yanamendeamendea.
 
Back
Top Bottom