Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh tangazo hili angelitoa amu nakuhakikishia ningekuwa wa kwanza kutuma maombi ya usajili.Nataka kijana wa kumfuga, but awe mahiri kwenye ile nyanja yetu pendwa!!!!😉😉
ndio baba yake..alishafarikinidsaidieni kujua Ford wa Kariakoo enzi zile anaishi au alishakufa
Duh hivi mumewe ana hio elimu anayoisemea? Anyway shamsa hivi unafahamu kuwa hao viben ten wengi ndo graduate wamekosa ajira miaka na miaka serikali haijatoa nafasi za kutosha so vijana wameamua kujiari kwenye umbea wapate hata matangazo watangaze kwa pesa. Je shamsa unafahamu hao unaowaita hawajasoma wengi ndo wanaongoza kwa pesa geukia chibu hana elimu ila kipaji na ujuzi vimemsaidia,geukia mpambe steve kila siku anapata dili mpya iwe rambi rambi,ukuwadi etc
All in all congrats kwa kujitambua kwenye malezi ya mwanao.
Tupo wa mikoani APA nikitoka shamba nakupa dozi daily achana na hawo wanaoshindia maji ya kandoloNataka kijana wa kumfuga, but awe mahiri kwenye ile nyanja yetu pendwa!!!!😉😉
Umenena kweli mkuuHivi wewe unayeng‘ang‘ania kuwa Serikali itoe Ajira itatoa wapi. Huku ulaya ajira ni kwa makampuni private zaidi . Elimu gani ya vyeti mkipewa kazi breakfast 2 hours. Lunch 4 hours simu 2 hours mwisho wa Siku Zero Hakuna ubunifu yani ofisi haina jipya. So jitahidi kuangalia pia Sisi Watz wenyewe ndo tunaangusha Nchi Sio kila Siku neno Serikali as if ni God.
Mapenzi mama, mapenzi ni kitu muhimu sana mama..Lakini Paka una nini na mimi?
hahhaahahahParasite.
Mtu tegemezi, kula kulala kwa hisani ya anayemfuga.
Aaaa mimi na wewe mpenzi mwaka wa ngapi huu sasa tupo pamoja,shaka ondoa nakupendaMapenzi mama, mapenzi ni kitu muhimu sana mama..
Hivi wewe unayeng‘ang‘ania kuwa Serikali itoe Ajira itatoa wapi. Huku ulaya ajira ni kwa makampuni private zaidi . Elimu gani ya vyeti mkipewa kazi breakfast 2 hours. Lunch 4 hours simu 2 hours mwisho wa Siku Zero Hakuna ubunifu yani ofisi haina jipya. So jitahidi kuangalia pia Sisi Watz wenyewe ndo tunaangusha Nchi Sio kila Siku neno Serikali as if ni God.
mashallaaaah achana na wanaotafuta viben ten kipenzi changu .Aaaa mimi na wewe mpenzi mwaka wa ngapi huu sasa tupo pamoja,shaka ondoa nakupenda
Naanzaje kwa mfano mwanaume shabab wa kunigeuza geuza kama chapati kitandani ninae.nkitembea natembea kifua mbele kwa kiburi unachonipa,sijasema nataka kenda saloon muamala umesoma,Mungu labda anishushie gunia la misumari tena,kwako nimefika sitoki nasiruhusu utokemashallaaaah achana na wanaotafuta viben ten kipenzi changu .
Hahahaaa usintie majaribuni mpenzi. Ujue mafisi mengi yamo humu yanamendeamendea.Naanzaje kwa mfano mwanaume shabab wa kunigeuza geuza kama chapati kitandani ninae.nkitembea natembea kifua mbele kwa kiburi unachonipa,sijasema nataka kenda saloon muamala umesoma,Mungu labda anishushie gunia la misumari tena,kwako nimefika sitoki nasiruhusu utoke
hao wala mizoga wasikutishe sweetyheart,maana kwako niko hoi sisemiHahahaaa usintie majaribuni mpenzi. Ujue mafisi mengi yamo humu yanamendeamendea.