Mwangunga amefulia hata kama ni Mwa JF, personally naona hilo jimbo toka uchaguzi wa 2000 tumekuwa tukishinda sema hila tu za hao waroho wa madaraka, na ukitaka kujua kuwa CHADEMA ni wana democrasia na tukichukua hii nchi tutaiendesha Kidemocrasia we angalia tu majimbo yote ambayo tunashinda halafu hao mafisadi wa amadaraka wanapora tumekuwa hatuna shida, make tunajua ipo siku tutashinda.
halafu suala la tume huru sijui Viongozi hawa wa vyama kwanini wamekaa kimya, hivi mtu unategemea unaweza kujiua mwenyewe na ili mradi silaha zote na mashambulizi unazo mwenyewe, nani alikuambia mtu unaweza commit suicide with no reason behind, mimi ningeshauri bado hatujachelewa it is our time now starting to press for the independent electral commission, kama hattutaweza hili tukubali kushindwa everyday. Ghana wameweza kufika walipo sasa because of free electral commision otherwise tutakuwa tunaumia na hawa watawala Wasio na sifa ya hata kuitwa VIONGOZI, we need leaders and not rulers.
Rom