Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
- Thread starter
-
- #61
thanks indeed,nitampa kitaa fasta ili atambae.Nalog offKwanza shangzi yako hakuheshimu ndo mana akatapika hayo maneno! Pili, kwani kuna ulazima wa yeye kuwepo hapo kwenu?Mahitaji yenu ya muhimu anawatimizia yeye?If not, then take her back to where she came from and warn herr to never set her dirt feets in ya house!
umegongelea msumari wa mwisho katika sanduku la huyu shangazi yangu.Nalog offUsihangaike na shangazi; yeye sio mwenye kupitisha vigezo vya nani uoe nani usioe; bali wewe tu; so kama umeridhika hata kama ana sura kama yangu hapo kwenye avata.weye kula ile roho yako inachopenda
dankie,huyu shangazi katibua kila kitu.Nalog offkhaaA!! mbona bundi mzuri tu!!! achana nae shangazi hajui asemalo,akizidisha ushangazi wake mtimue fasta!!!
mie kanitibua,sijui alifikiri nini kufanya vile.Nalog offkuna wazazi wengine sijui wanafikiriaa nini, na watu kama hao ukiwaangalia wao ndio makwisuuu, yaan wabaya kwa sura na maumbile
nachagua furaha ya my wife wangu.Nalog offShangazi gani amekosa busara kiasi hicho,Kazi kwako maamuzi ni yako utachagua kati ya furaha ya mkeo au shangazi yako!
dankie,nitafanya hivyo.Nalog offmweleze huyo shangazi mambo yako na mkeo akuachee wewe
mkuu hebu naomba uniwekee picha ya Wassira ili niifananishe,ila kwa unavyonitisha inawezekana my wife wangu akawa bomba kuliko huyo jamaa.Nalog offUnajua standard ya ubaya ni sura ya Wassira, my waifu wako anaweza kuwa anampiku Wassira? Kama hamfikii basi huyo ni mzuri tu.
nimeamua kumuoa yeye ili kuepuka ugomvi na wanaopenda vizuri.Nalog off
Kwenye hilo la ubaya naona kimsingi unakubaliana na shangazi yako (na pengine huoni tatizo!). Vipi huyo mkeo naye anajijua kama ni 'mbaya'? Labda kidogo unaweza kushare na sisi hapa...ni kwanini uliamua kumwoa huyo mwanamke 'mbaya'?
nitafanya hivyo.Nalog offmwambie shangazi yako aonoke haraka maana huwezi kuwa naye under the bedsheet
nimemuambia amuombe msamaha my wife wangu ili kusiwe na matatizo ktika nyumba yangu.Nalog offUzuri wa nyumba sio rangi, fungua mlango uingie ndani. Huyo shangazi yako inaelekea sio mstaarabu hata kidogo, katika hali ya kawaida huwezi kumtamkia mtu maneno ya kashfa kama hayo, angekuita wewe pembeni halafu akuambie hayo maneno. Yeye anajua ni nini kimekuvutia kwa huyo bundi mpaka ukaamua kumuoa? Kwa kweli inabidi amuombe msamaha tu.
kabla ya kumrudisha nitamuambia ABADILI TABIA.Nalog offmrudishe shangazi yako kijijini upesi sana. Nalog off
Habari zenu. Nimemwita shangazi yangu kipenzi ili aje kumuona my wife wangu mpya,basi baada ya kumuona na kumtambulisha kwa mke wangu huyo,shangazi wala hakunichelewesha akaniambia mbele ya my wife wangu,kwanini nimeoa mke mbaya kama bundi? Basi mke wangu yuko kwenye mgomo,hamtaki shangazi yangu awepo hapa nyumbani kwetu na kuniambia nimrudishe nyumbani(Tz) nifanyeje jamani shangazi yangu aendelee kuwepo hapa kama mwezi? Nalog off
hapana,huyu ndiye yule aliyeondoka baada ya lile songombingo ila amerudi kwa sasa niko naye.Nalog off
alafu huyu mke wako mpya ni yule mpangaji mwenzio uliyemfulia Chu-Pi .... hadi ukaachana na mkeo
mshirazi.Nalog offdah shangazi yako ni kabila gani.....?
hapana huyu ndiye yule aliyeondoka baada ya lile songombingo ila amerudi kwa sasa niko naye.Nalog off
kwangu huyu ni mke mpya wa zamani tulishaachana zamani.Nalog off
sasa mbona unasema ni mke wako Mpya kumbe ni yuleyule....
anyways mwambie shangazi umempenda hivohivo ..