afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua mi nilikua sijui bundi ndio nini, nilipoambiwa nikawa nafikiria sana, mtu akifanana bundi anakuaje? nikaenda google image nikakuta hiyo picha... Maajabu ya Mungu kweli.hahahaahah
Mwali unavituko kwakweli loohh..
What a cutie!
Teh teh teh...Gaijin bana! Chokozi sana wewe.
akili yako ndivyo inavyokutuma mie sina uwezo wa kubadili unachokiamini,endelea kuamini hivyo hivyo.Nalog offStory ya kutunga
huyo atakuwa anatafuta ugomvi na pia nitajua ya kuwa ananidhihaki.Nalog offunajua kila unachoona kibaya kwa mwingine ni kizuri..
sasa ngoja atokee mtu amsifie mkeo.
ahsante kwa pichaoneni huyu nae...
View attachment 41298
Aisee!Kisura kwa kweli ni mbaya lengo langu ni kuogopa kuchukuliwa mke na mapedejee,lakini huyú kwasababu ni mbaya basi nagonga peke yangu. Nalog off
My wife kweli ni mbaya,ila shangazi yangu nafikiri kafanya hivi baada ya kujua ya kuwa mie nampenda sana yeye. Nalog off
Ndio mkuu,kisura ila ana tabia nzuri. Nalog offuna mke mbaya na unajua kwamba ni mbaya?
Ninachomlalamikia Shangazi yangu ni kumtamkia mbele yake. Nalog offAisee!
Sasa unalalamika nini kama shangazi kasema ukweli wake halisi? Nalog off..
Nakubaliana na wewe. Nalog offshangazi yako ni mchawi uzuri wa mwanamke ni tabia si sura
Aisee!
Sasa unalalamika nini kama shangazi kasema ukweli wake halisi? Nalog off..
Omba uhamisho uletwe katika hiki chuo kilichopo hapa karibu na nyumbani kwangu,uje uje ujionee. Nalog offwewe jamaa ni muongo sana! Na log off
Ukikandiwa kidogo tu unarusha ngumi.we hujui wabongo tunapenda kusifiwa tu. Lol
Kisura kwa kweli ni mbaya lengo langu ni kuogopa kuchukuliwa mke na mapedejee,lakini huyú kwasababu ni mbaya basi nagonga peke yangu. Nalog off
endelea kuwepo bibie.Nalog offMh! Kwa hili. Na mie, nalog off kwakweli.