Shangazi yangu amfananisha mke wangu na bundi

Mambo mengine bwana sasa wewe shangazi yako unamwambia akuthaminishie mke

inamaana ulitaka majibu mawili mzuri au mbaya ndo hivo sasa kakwambia kama bundi......unamlaumu nini

kwani wewe lengo lako ninini baadaya kuthaminishiwa mke kwaufupi hauna uhakika naye au vipi

bs anti yako huo ndo mtazamo wake aliouona.
 
Kisura kwa kweli ni mbaya lengo langu ni kuogopa kuchukuliwa mke na mapedejee,lakini huyú kwasababu ni mbaya basi nagonga peke yangu. Nalog off

Kwa muktadha huo shangazi yako yuko SAHIHI kabisa mkuu.
 

Mke wako yuko sahihi kabisa,mbona huyo shangazi yako anakuwa c muungwana bwana kanikera sana huu sio wakati wa kuchagulia wake bwana,damn
 

ndg yangu mke ni wako siyo wa familia,n
 
Bibie inaonesha we ni mzuri sana
 
Shangazi kaniharibia sana. Nalog off
 
Lengo langu sio shangazi yangu amtathimini my wife wangu bali aje kumtambua. Nalog off
 
halafu wakwe wa namna ya shangazi yako wanapataga na wakuwatukana.....angeyameza aloyatapika!
 
halafu wakwe wa namna ya shangazi yako wanapataga na wakuwatukana.....angeyameza aloyatapika!
Bahati yake shangazi yangu huyu,mke wangu sio muongeaji. Nalog off
 

unajua kila unachoona kibaya kwa mwingine ni kizuri..
sasa ngoja atokee mtu amsifie mkeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…