Waufukweni
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,060
- 5,648
Shangwe la WanaCHADEMA kutoka soko kuu Arusha wakifurahia ushindi wa Wakili Deogratius Mahinyila kuwa Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa.
Soma: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) CHADEMA Taifa 2025
Wanachama hao katika wakisherehekea ushindi huo pia wamemshukuru na kumpongeza Godbless Lema kwa kutoa hotuba ambayo wao wamedai amesema ukweli na wamefurahishwa uamuzi wake wa kumpigia kampeni za Uenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu.
Soma: Uzi maalumu wa matokeo Uchaguzi wa Baraza la Vijana (BAVICHA) na Baraza la Wazee (BAZECHA) CHADEMA Taifa 2025
Wanachama hao katika wakisherehekea ushindi huo pia wamemshukuru na kumpongeza Godbless Lema kwa kutoa hotuba ambayo wao wamedai amesema ukweli na wamefurahishwa uamuzi wake wa kumpigia kampeni za Uenyekiti wa CHADEMA Taifa Tundu Lissu.