Underdog
na hicho ndicho kitachowaponza.... hawatoamni kitachotokea.Mashabiki wa Tp Mazembe wameonekana wakishangilia katika makao mkuu ya timu Yao mjini Lugumbashi Mara baada ya kupangiwa Simba katika Droo ya robo fainali
Mashabiki hao wanaamini kuwakwepa waarabu katika robo fainali Ni Jambo nafuu kwao
Jionee happy wakiimba na kushangiliaView attachment 1050632
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwaka huu mtaimba sana mtani... huko yanga kwafukuta sijui uchaguzi lini?Simba ni underdog ndo mana
Mwaka huu mtaimba sana mtani... huko yanga kwafukuta sijui uchaguzi lini?
Underdog aliyepewa kifiroo na lipuli juzi iringa...kamweneeeUnderdog
Mbona matusi mzee babaUnderdog aliyepewa kifiroo na lipuli juzi iringa...kamweneee
Mashabiki wa Tp Mazembe wameonekana wakishangilia katika makao mkuu ya timu Yao mjini Lugumbashi Mara baada ya kupangiwa Simba katika Droo ya robo fainali
Mashabiki hao wanaamini kuwakwepa waarabu katika robo fainali Ni Jambo nafuu kwao
Jionee happy wakiimba na kushangiliaView attachment 1050632
Sent using Jamii Forums mobile app
Haahahah