mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
sawa.na siku akiumwa huo utakuwa ni ugonjwa wake mwenyewe. Watoto wake wasiende kumuona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hivyo kama una huruma usizae watoto ,kila mtu mfuate aliyemleta .Kwani yeye alipoletwa duniani alilalamika au alifanya kazi na kujituma kujitengenezea maisha yake?
Mijitu ya nyumba za urithi kko,magomeni kinondoni ndy zao hizoMtapewa, lakini sio ndio mnajilaza vibarazani mkijamba jamba kusubiri urithi wa nyumba Kariakoo, fanyeni kazi mpate vyenu, mtakuja kufa nyinyi muache wazazi wenu wakila jasho lao.., msiomnee vifo wenzenu kisa mali za urithi..
Mablacks ni wabinafsi sana mpaka kwenye familia zao, mbona wazungu wanapesa nyingi na sijawahi skia mzungu awaambie Watoto tafteni Mali zenu hizi sio zenu ni zangu.MIMI NDIO TAJIRI WATOTO WANGU WATAFUTE PESA ZAO
Nyota wa zamani wa #NBA , #ShaquilleRashaunO'Neal amewachana watoto wake sita kuwa Pesa alizonazo na Utajiri alionao sio wao bali ni wa kwake hivyo na wao wajitafutie pesa zao.
Mpaka sasa Shaq anakadiriwa kuwa na utajiri wa zaidi ya Sh.Trilioni 1 na anaamini kuwa pesa hizo amezitafuta yeye na sio watoto wake kauli yake kwa watoto wake ni "Sisi sio Matajiri, Mimi ni Tajiri" kauli ambayo watoto wake hawapendezwi nayo.
View attachment 2936962
Nisizae wakati mimi nilizaliwa? Hivi unaijua jamii wewe au unaisikia, mwishowe uitwe shoga bure.., kuzaa ni jukumu la kila aliyezaliwa kuendeleza maisha hapa duniani ili kumuabudu MunguNdio hivyo kama una huruma usizae watoto ,kila mtu mfuate aliyemleta .
Duniani ni kuletana bila ya utaratibu.
Hiv❌ Hivi✔️, unadhaa❌ Unazaa✔️Hiv unadhaa watoto uli uwape mali?
Babu aliyegoma kufaTafuteni mali zenu, sio kukaa kaa kutolea macho nyumba ya babu yenu Kariakoo, pumbavu sana…
Yuko wapi, maana mimi ndio nimeanza 30 😂Babu aliyegoma kufa
Wale wa kko,magomeni,kinondoniYuko wapi, maana mimi ndio nimeanza 30 😂
Nanhoyo ndy tatizo kubwa tanzania,baba akiwa na vimaliShaq sio mjinga hiyo ameongea general, lakini kimsingi najua amewapa elimu nzuri, exposure na kuwawezesha kufanya uwekezaji. Na hili ni jukumu la lazima. Mambo ya mtoto kubweteka kusoma kwa bidii hutaki, kujifunza hutaki, kupambania ndoto zako hutaki ati wasubiri mgao. Hapo hapana.
Wewe ndiyo mpumbavu ujue. Kila mtu anatafuta vyake. Mfano mimi niliambiwa hivyo na babu yangu kuwa ukoo wetu hakuna urithi. Hivyo sikupata urithi toka kwa baba, na mimi mtoto yuko tumboni namweleza hivyo. Kwa sasa watoto wangu wana hela kunizidi. Shida inakuwa, sina wa kunisaidia kumanage biashara zangu maana kila mtu anamanage vyake.Huyu ni MPUMBAVU kwani watoto waliomba kuzaliwa? Starehe zake na hawara yake ndiyo zimeleta mimba na hatimaye watoto unless awarudishe walikotoka