CRDB sijaona makato makato halafu kingine suala la kukata inategemea umefungua akaunti ganiBank gani ?
Hawakati kati kila mwezi charges zisizoeleweka ?
24 carat ndio nzuri zaidi
Mshahara naweka bank ya NBC unaweza chukua hela yako baada ya miezi hiyo nimeshawahi fanya pia japo wanasisitiza ndani ya mwakaMshahara wako unaingilia bank hiyo hiyo ?
- Na Je, nikisema niweke miezi 6 inakubalika au ni kuanzia mwaka !
Yaani hii njia nzuri unahifadhi na kukopa bila kutaka..Mimi natumia njia ya kununua hisa VICOBA, kila wiki mwanachama lazima anunue hisa walau moja usipofanya hivyo ni faini.
Njia nzuri sana hii, unajikuta unaweka akiba kwa lazima
Kibubu unakiwekaje ktk kundi hili la uhifadhi wa akiba? Kibubu hutumiwa na watu wasioweza kuzivumilia pesa zao ktk matumizi iwe ya lazima au lah, yani ni jela ya pesa yake dhidi ya akili yake. Huu ni ijinga+KIBUBU VS BANK VS M-PAWA, Which is the best Saving technique amongst the three ?
Sijui labda nipate elimu kidogo juu ya matumizi ya pesa maana naanza vizur mwaka lakini shida kwenye mwisho wa mwaka najikuta sina akiba ya mwaka mzima.Ha ha ha pole sana,njia ni kuamua kwa vitendo na uwe una vipaumbele ambavyo umevioanisha kwamba kinaanza hiki,kinafuata hiki,maana wanapofel weng ni kupanga matumiz kabla hujashika hela yenyewe.. Utakapoipata itaisha tu na utaona haitoshi
haba na haba hujaza kibabaNJIA NZURI YA KUHIFADHI PESA NI KUWEKEZA. Kila upatapo ziada wekeza kwenye biashara ndogo ndogo. Wahenga wa zamani wanasema ndo ndo ndo si chururu.
Ahaa.Yes naweza kushea kidogo.. iko hivi.. haka kamfumo ni kama ka kununua hisa. mfano mko watu 20, sisi tunafanya hisa moja ni 50,000 na mtu anaweza kununua a maximum of hisa 5 kwa mwezi, that is 250,000. Pia tumeweka kamchango ka jamii shilingi 5,000 kwa kila mwanachama kwa mwezi. Hii inatumika kwa yale mambo ya kijamii yanayotokea mfano kuzaliwa kwa mtoto, harusi, kifo, ugonjwa (japo mtu ana bima ila akilazwa basi angalau wanaomtembelea wanamnunulia chochote)Mkuu hebu jazia nyama kdg hapo, mkopo kiasi gani kwa riba ya 10% na muda wake wa mrejesho ni upi? Nipo kwenye kampuni moja hv ila hakuna hii system nimehamasika kuwashauri wenzangu tuanzishe haka ka utaratibu ndani ya kampuni yetu! Maelezo kdg mkuu......
Asante kwa maelezo mazuri na yalioshiba nimeielewa vizuri sana ingawa hapo kwenye hisa tena ndio changamoto maana sikusoma uchumi so sielewi hisa ni nini, ni fedha au nini?Ahaa.Yes naweza kushea kidogo.. iko hivi.. haka kamfumo ni kama ka kununua hisa. mfano mko watu 20, sisi tunafanya hisa moja ni 50,000 na mtu anaweza kununua a maximum of hisa 5 kwa mwezi, that is 250,000. Pia tumeweka kamchango ka jamii shilingi 5,000 kwa kila mwanachama kwa mwezi. Hii inatumika kwa yale mambo ya kijamii yanayotokea mfano kuzaliwa kwa mtoto, harusi, kifo, ugonjwa (japo mtu ana bima ila akilazwa basi angalau wanaomtembelea wanamnunulia chochote)
Kwa hiyo tuna uongozi kwa maana ya myenyekiti, katibu na mweka hazina.. hawa wanahakikisha kila mwanachama amenunua hisa kwa uwezo wake, na pia kila aliekopa anafanya marejesho. na hapo kwenye kukopa ni kwamba unakopeshwa mfano kuanzia milioni moja, marejesho ya riba ni 5% means unalipa 1,050,000 iwe imerudi ndani ya miezi mitatu,..so unaigawanya hiyo kila mwezi unalipa 350,000. Pia mbali na kurejesha lazma pia ununue angalau hisa moja na kuchangia ile gharama ya jamii.. Kwa wanaokopa milioni mbili hadi tatu hiyo marejesho ni miezi sita, na riba yake ni 10%. Huu utaratiu tulijiwekea wenyewe so nyie mkianza yenu mnaweza kujiwekea utaratibu wenu wenyewe. Lengo ni kupata soft loans ambazo zitawasaidia wanachama na si kuwaumiza kama zile za kibenki.
uzuri tunachofanya tuna wahasibu wa hapa kazini nao ni wanachama so wanatunza hesabu yetu vizuri, na pia tunatumia sefu ya ofisini kutunzia fedha yetu kwani hatujafungua account ya chama SILC yetu bado. Kila mwezi wanaandaa excel sheet inayoonesha jumla ya akiba mtu aliyo nayo kwa maana ya hisa alizonunua, madeni, marejesho ya mikopo, deni ambalo mkopaji bado anadaiwa, na ile hesabu ya jamii, na jumla ya fedha yote iliyopo kwenye mfuko toka tumeanza. Kigezo cha kupokea mkopo ni kwamba unakopeshwa mara tatu ya hisa ulizo nazo. mfano kama hisa yako imefika milioni basi una sifa ya kukopeshwa milioni tatu..Na pia kwa kuwa ni watu wa ofisi moja basi kila mwezi baada ya mishahara tu lazma marejesho yafanyike na hisa zinunuliwe..hesabu inafungwa tarehe 30 au 31 ya kila mwezi..mwezi huu wa pili ndo itabidi ifungwe tarehe 28.
Sijui kama kamnofu kamekidhi na kutosheleza, kama kutakuwa na swali jingine i would be glad to share experience tunavyofanya hapa... Karibu
Sure mkuu, mara cjui utoe ada uingie class, mara sjui uwe na mentor daaa.Hiyo sasa ndio Real forex
Ile ya online ni janja tu za wazungu kuibia watu.
wewe ni shemeji yangu hakikaMe nikipata hella nyingi nampa mama ngina. maana nakua nahamu nifunge ofisi niwahi matako bar
ndugu jitahidi uwe unarudia kusoma ulichokiandika kabla hujaposti...Mkuu salama,
nimesoma bandiko lako na nimeelewa kama ifuatavyo;
Kwanza wewe ni lazima muajiliwa so unajaribu kushauri wengine pia katika level uliopo.
Pili nataka nikuchalleges kama unafanya saving ili ununue gari au nyumba unakua sahihi lakini you will never be reach(hauwezi toboa kwa kusave).
Njia sahihi ya kujikomboa kumaisha, kwanza futa hizo mentality za kusave and instead anza kufikilia kubuld businesses(you can start small) kwa hyo hyo pesa unayosave(remember savers are loosers).
Jaribu kufatilia watu wote matajiri wanaokuzunguka kwa haraka uliza au jiulize wametoboa kwa kusave au kwa kufanya biashara...Ukipata majibu utaungana na mimi 100%.
I wish you best of luck hope nimeeleweka!
[HASHTAG]#stoppoormentally[/HASHTAG]!!!
Yaweza kuwa ladyfocus si unajua tena dunia uwanja wa fujo.wewe ni shemeji yangu hakika
hajui kama wanaoweka akiba wenye kujitambua wanakusanya mtaji wa kufanya jambo kubwa ili ndo wafikie hayo malengo ya kutoboa na sio kama anavyojadili yeyendugu jitahidi uwe unarudia kusoma ulichokiandika kabla hujaposti...
na kama unaamini kuwa watu wanaweka akiba ili watoboe basi ni wewe ndio mwenye mawazo potofu!