Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Zinahifadhiwa bank mkuuupo kujarbisha majambaz maishan mwako
Unaweka akiba yako Bank au kwenye kibubuMimi napata 250,000 kwa mwezi. Mwanzoni nilikuwa natumia kwanza afu ikibak ndo nasave unakuta mda mwngne hamna hela ya maana uliyosave. Nikabadilisha njia. Nikawa nikipata tu hela naweka 100,000 kamili bank alaf hyo 150 inayobak ndo nafanya matumizi. Namshukuru MUNGU na kipato changu kidg nimekaa mwaka na zaidi sasa nina akiba ya 1.2m
Hyo ndo njia ninayoitumia na sitoiacha. Naombea niongeze kipato ili kuongeza akiba yangu.
Nilikuwa naweka sarafu za 500, kwa bidii sana, baada ya mwezi wife akawa anachukua na kufanyia matumizi madogo madogo, maana niliweka kwenye mkoba wake asioutumia. Baadaye nikaghairi na nikaishia kutoa elfu 50 tu!Nitaijaribu hii mana nilikua naweka sarafu kwene mkoba mbona ilinishinda
Bank ya equityUnaweka akiba yako Bank au kwenye kibubu
Acha wengeKibubu unakiwekaje ktk kundi hili la uhifadhi wa akiba? Kibubu hutumiwa na watu wasioweza kuzivumilia pesa zao ktk matumizi iwe ya lazima au lah, yani ni jela ya pesa yake dhidi ya akili yake. Huu ni ijinga+
Unaishi wapi....Mimi napata 250,000 kwa mwezi. Mwanzoni nilikuwa natumia kwanza afu ikibak ndo nasave unakuta mda mwngne hamna hela ya maana uliyosave. Nikabadilisha njia. Nikawa nikipata tu hela naweka 100,000 kamili bank alaf hyo 150 inayobak ndo nafanya matumizi. Namshukuru MUNGU na kipato changu kidg nimekaa mwaka na zaidi sasa nina akiba ya 1.2m
Hyo ndo njia ninayoitumia na sitoiacha. Naombea niongeze kipato ili kuongeza akiba yangu.
Uhalisia upo kwasababu sina majukumu mengi.Unaishi wapi....
Kazini kwako unatumia usafiri gani kufika?
Napata shida kidogo kuona uhalisia ktk hoja yako mkuu, japo ni nzuri kinadharia
Ok, hapo nimekupata mkuu..Uhalisia upo kwasababu sina majukumu mengi.
Kazini na nyumban napanda daladala moja kwaivyo ni 800 kwenda na kurudi.
Chakula napata kazini.
Kwaivyo matumizi yangu ni hyo 800 ya usafiri alafu nakaa kwetu.
Ila pia kazini na nyumban sio mbal mda mwngne natembea tu mdg mdg hadi nafika.
Uhalisia upo tofauti ni majukumu tu.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Sasa wewe unavunja kibubu baada ya week? [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] haukuwa seriousNilishawahi kuwa na kibubu cha mbao nikakivunja baada ya wiki. Hata hakukuwa na pesa ya maana
Mkuu naungana na wewe lakini pia kumbuka watu wana save kwa malengo tofauti. Mfano kama mtu ameajiriwa ila analengo la kufungua duka la 5m, lakini salary yake ni 400k. Huoni kama anatakiwa kusave hadi apate hiyo 5m ili afungue duka? Maana wengine kwa nature ya ajira zao hata benki hawamkopeshi hiyo hela anayotaka. Au kuna alternative yoyote?Mkuu salama,
nimesoma bandiko lako na nimeelewa kama ifuatavyo;
Kwanza wewe ni lazima muajiliwa so unajaribu kushauri wengine pia katika level uliopo.
Pili nataka nikuchalleges kama unafanya saving ili ununue gari au nyumba unakua sahihi lakini you will never be reach(hauwezi toboa kwa kusave).
Njia sahihi ya kujikomboa kumaisha, kwanza futa hizo mentality za kusave and instead anza kufikilia kubuld businesses(you can start small) kwa hyo hyo pesa unayosave(remember savers are loosers).
Jaribu kufatilia watu wote matajiri wanaokuzunguka kwa haraka uliza au jiulize wametoboa kwa kusave au kwa kufanya biashara...Ukipata majibu utaungana na mimi 100%.
I wish you best of luck hope nimeeleweka!
[HASHTAG]#stoppoormentally[/HASHTAG]!!!
Hii mzuri, japo kwa sisi ndugu zenu (waislamu) hatutakiwi kufanya biashara ya riba. Lakini nimependa mawazo yako tangu umeanza kuchangia. Na naamini hata katika mfumo huo wa bila kuweka riba tunaweza na sisi kufanya umoja huu japo mtaji hautokuwa kwa kasi kama nyieWaarmly welcome, nduyo hisa ni ile amana tu tuliyoamua kuweka, ni fedha kwa kifupi.. ambapo tulisema hisa moja iwe 50,000 na kwa mwezi mtu anaweza kuwa na the maximum of 5 which makes 250,000. In short kila mwanachama kwa mwezi lazma anunue hisa, na kiwango cha chini kabisa ni hisa moja.. hii inaensure continuity..na mfuko hauishiwi kwani lazma kila member ananunua.. kweli kuna wanaonunua hisa zote tano, na wale ambao mfano wamekopa tayari unakuta anafanya marejesho and on top of that ananunua hisa yake moja.. its also a way of saving kwani mwisho wa siku your money comes back to you plus the interest accrued.
So far hakuna defaulters kwa sababu kwenye system yetu ni wafanyakazi wote wa ofisi moja, na agreement ni kwamba once mshahara umetoka that is the first thing to do, kununua hisa (that is kuwekeza amana/saving) na kulipa madeni kwa waliochukua mkopo. Na lazma unasaini makubaliano na masharti ya kujiunga.. hakuna kona kona wala ujanja ujanja kwani kila kitu kiko wazi na mambo yanaenda..
Ofisini kwetu tuna vicoba kama hiyo huu mwaka wa nne ila kwetu hatuweki ribs ukikopa milioni unalipa hiyo hiyo sema Katibu ni mnoko hajui shida ni utalipa tu na tunafanikiwa.Hii mzuri, japo kwa sisi ndugu zenu (waislamu) hatutakiwi kufanya biashara ya riba. Lakini nimependa mawazo yako tangu umeanza kuchangia. Na naamini hata katika mfumo huo wa bila kuweka riba tunaweza na sisi kufanya umoja huu japo mtaji hautokuwa kwa kasi kama nyie
kweli baba, mnaamua tu namna ambavyo mnaweza kufanya iendane na matakwa yenu ya kiuchumi bila kukwaza imani zenu pia.. sisi tunafanya hivyo kwa kuwa kiimani haina shida kwa wanachama waliopo.. goodluckHii mzuri, japo kwa sisi ndugu zenu (waislamu) hatutakiwi kufanya biashara ya riba. Lakini nimependa mawazo yako tangu umeanza kuchangia. Na naamini hata katika mfumo huo wa bila kuweka riba tunaweza na sisi kufanya umoja huu japo mtaji hautokuwa kwa kasi kama nyie
Lahaulaaa lakwata.....[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Nasave kwa kucheza michezo na vicoba. Umenikumbusha nimeanza kusave primary kwenye kibubu mimi na ndugu yangu tulikua tunaweka 200 kila siku. Tuliweka kama miezi mitatu kwenye kibubu chetu kipya. Kuja kukifungua tukakuta elfu 2. Sitasahau machungu yake. Kuna dada yetu alikifungua akaiba hela halafu akakifunga kama kilivyo.