Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Yapata miaka 2 kwenda mi3 sasa, nimekuwa na uhusiano wa kimapenz na Tomboy (Binti Massawe), ni binti mzuri sana yuko smart pia.
Huyu binti ni mshikaji sana na yuko real kwenye mapenzi, najivunia sababu mimi ndiye mpenzi wake wa kwanza na nilimkuta bikra.
Hawa watu tusiwaogope mapenzi wanayajua sana [emoji23][emoji23]. Achana kudate na hawa slayqueens.