Share uzoefu wako ulivyom-date na 'Tomboy'

Dunia inaenda speed sana, hizi topics zina airtime sio poa hata kidogo!!
 

Kipindi nasoma chuo darasani tulikuwa na binti mmoja mnaigeria tomboy, mtoto alikuwa wa kawaida kwa uzuri ila manjemba wakamuogopa kwa mtindo wa mavazi na michapo yake.

Baharia mimi nikasema hapa ndo pa kutokea. Mbona nilikula mema ya nchi! Tena kiulaini kabisa mtoto alikuwa mtamu hatari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…