Chum Chang
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 999
- 272
nakupa ushauri mzuri, ili uwe mtu wa kumtegemea mungu ili ukifa hata ghafla uurithi ufalme wake unaniona sina akili, haya endelea kunywa wanzuki, kufanya zinaa, kusema uwongo. etc halafu mwisho wa siku tutaona kama uko MENTAL FIT. you should know that we are walking with death! Tumeshasema R.I.P sana mpaka lishakuwa neno la kwaida. Haya endelea kuniuona mm ni kichaa!
eatv imeekaaje hii!
Mnatabiri vifo vya hawa watu!
Sijui kama nawaza sahihi pengine ni kujumlisha tu mtukio!lakini dah!yani jamani nimelia sana kusema ukweli nilikuwa napenda sana huyu mtu anavoigiza!
kama kumbu kumbu zangu ziko vizuri sharo anakuwa msanii wa tatu kufariki akiwa anafanya kazi karibu na mzee majuto........anyway RIP sharo!
Barabara zetu zinatisha sana. Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.