TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

TANZIA Sharo Millionea afariki dunia

#Nawashangaa sana watu
eti Mungu amempenda!
Umejuaje kama ni Mungu
hujui hata shetani anaweza kuuwa roho!
 
Rip sharo,sote tupo njiani tunakuja hukohuko. Wanajamvi pia nasikia king majuto ndio baba yake mzazi na sharo!eti jamani kuna ukweli ndani yake?
 
asee duniani tunapita jaman.....hizi pilika za hapa ni za muda tu kutaka tufanye maandalizi ya tuendako.vijana tumrudie mungu tumeasi sana siku hizi,dunia imekua jalala cku hizi.ee mungu mlaze anapostahili marehem hussein a.k.a sharo
 
#Swali la kujiuliza, je alinunua gari lini!
Je ameanza kuendesha lini?
Je ana uzoefu wa kuendesha gari toka dar mpaka tanga? Kwa sababu kuna watu wengi sana wanajifunza kuendesha gari hapa dar, mara anataka kwenda safari ndefu!! Bila kujua safari ndefu inahitaji uzoefu,
si kila anaekufa ni mungu!
 
ni msanii nnliyempenda sana yan ooo mama juzi tu alikuwa friday nite live ya eatv du! we sio
frimaso

EATV imeekaaje hii!
mnatabiri vifo vya hawa watu!
sijui kama nawaza sahihi pengine ni kujumlisha tu mtukio!lakini dah!yani jamani nimelia sana kusema ukweli nilikuwa napenda sana huyu mtu anavoigiza!
 
nimetumiwa sms na washkaji wengi kutoka kona nyingi za Tanzania kunitaarifu kuwa sharobaro kafariki kwa ajari ya gari. Alikuwa anatokea Muheza. Hebu wenye details watupe jamani.
 
Dah! inaumiza sana kwa m2 unaempenda akitangulia mbele za haki,kifo cha sharo milionea kinaniumiza mno jaman wanajf!
 
Dah! inaumiza sana kwa m2 unaempenda akitangulia mbele za haki,kifo cha sharo milionea kinaniumiza mno jaman wanajf!

Kwanin usichangie thread walizoanzisha wenzako?? Unakuja kuanzisha thread zaidi ya masaa mawil baada ya mwenzako kuanzisha, waheshimu wenzako..
RIP S.M.
 
Da imesikitisha sana kijana alikuja na ubunifu wa aina ya pekee na akafanikiwa kuwavutia watu.Lakini kazi yake Mungu haina makosa R.I.P. HUSSEIN RAMADHANI MKIETY
 
Back
Top Bottom