Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
Yanaibuka baada ya kifo chake?? atathibitishaje sasa!?
mtoa mada huna hoja ya msingi.
nashukuru kwa kunikosoa;lakini si umenielewa? Kama umenielewa naomba nijibu.
Sasa atajibu vipi jambo lisilo na msingi !?
Mi naona wanafanana sana. Ukiamgalia vizuri macho yao na midomo yao naona kuna unasaba.
Sio mwanae...
pia inawezekana lakini tuthibitishie ili tufahamu zipi kapi na zipi chenga.