Sharo na majuto......!

Sharo na majuto......!

Status
Not open for further replies.
R.I.P SHARO, Tutakumisi sana
Kuna ukweli gani kati
ya mzee majuto na sharo? Kuna sehemu nimesikia ya kwamba zaidi ya
kuigiza pamoja king majuto na sharo wana mahusiano ya karibu(baba na
mwana). Pia nilikwisha wai kusikia alikuwa anaigiza pamoja na mkewe. Je
kunaukweli gani alafu ukizingatia majuto kwao tanga na sharo mauti
yamemkuta akielekea tanga kwao?
 
Kuna ukweli gani kati ya mzee majuto na sharo? Kuna sehemu nimesikia ya kwamba zaidi ya kuigiza pamoja king majuto na sharo wana mahusiano ya karibu(baba na mwana). Pia nilikwisha wai kusikia alikuwa anaigiza pamoja na mkewe. Je kunaukweli gani alafu ukizingatia majuto kwao tanga na sharo mauti yamemkuta akielekea tanga kwao?

Hayakuhusu. Ukishajua uhusiano wao wewe itakusaidia nini? Leteni hoja za msingi. Kama huna cha kuandika kaa kimya. Soma michango ya akina mwanakijiji. Utaelimika. Natoa onyo kali.
 
Eti Mnyika nae ni mtoto wa Mbowe.Mimi nasikia tu mtaani ni kweli jamani
 
Akiwa mwanawe acwe mwanawe we itakusaidia nini? Chamsingi tujiandae kwenda kuzika2
 
pia inawezekana lakini tuthibitishie ili tufahamu zipi kapi na zipi chenga.

Akuthibitishie kwa kuleta vyeti vya kuzaliwa au akuthibitishieje? Ashakuambia si mtoto wake, si ndio ulitaka jibu? Kama ulitaka vithibitisho ungevidai kwenye swali la msingi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom