Sharobaro wa Kihaya, mchekeshaji wa Futuhi acha kujichubua

Sharobaro wa Kihaya, mchekeshaji wa Futuhi acha kujichubua

Hao Dada zao wenyewe kukiwa na jua kali hawatembei kwa kuogopa kuungua uso.

Au ndio kutumia tumia mimafuta mwishowe kaangukia kwenye kung'aa? Teh
Hahhah Ila mkuu cha ajabu ambacho sikielewi kuhusu wanawake,naona mpk kuna wanawake wenye vyeo na ni wasomi wanajichubua mawaziri,makatibu huko wizarani,wakurugenzi etc.

Sasa hapo hua sielewi tofauti ya aliyesoma vs asiyesoma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom