Sharobaro wa Kihaya, mchekeshaji wa Futuhi acha kujichubua

Wanaona weupe ni dili[emoji1][emoji1]
 
Hii picha ya zamani alipoanza hayo mambo wee mtizame kwa sasa utagundua
 
Kama umitaka tafuta kipindi chao cha jana tizama alivyokuwa leta mrejesho hapa
Yani ndivyo alivyo huyo tena ni mweupe zaidi hiyo screenshot imemzurumu mtani.
.
Kuchangia ili mradi ni kila mtu anaunga mkono hoja ya wa stendi kwamba kajichubua ilihali hamumjui mtani wengine tunamjua way back uliza wakazi wa butimba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…