Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aquos 5G model A004SHNi ipi inayotumia na bajet yake ikoje
zinakuwa used from dubaiuses from.....?
mmh siyo mpenzi/mdau wa camera ila inatoa vizuri sana ya mbele na ya nyumaQuality ya camera ina mfanano na simu zip
Iphone
Samaung
Pixel?
Nyingi battery sio nzuri, inategemea na model, sababu ni flagship za zamani storage, Camera, na build quality kiujumla ipo vizuri,Hivi ndugu zangu hizi simu za mjapani naona zinakuwa trend sana huku huu mwaka mwishon hapa
Niambien zina ubora huo zinaopigiwa promo
Camera
Waterproof
Battery inatunza moto
Storage yake. Ya uhalisia?
*japanzinakuwa used from dubai
mmh siyo mpenzi/mdau wa camera ila inatoa vizuri sana ya mbele na ya nyuma
yako ina processor ghani,ram ngap, rom ngap, network ghan, upora wa picha zake vipi maana naona zinauzwa bei poa wakati specs ziko vizursimu nzuri sana ndiyo nayotumia hapa
betri yake 4750mAh kama sijakosea
nakaa nayo siku kadhaa,
yeah ni waterproof kwa 2m ndani ya dk 30
ni kweli na ukichukua kubwa kuanzia aqual sense 5 5G kwa sasa ninapoandika hizi hakuna tool inayoweza kuvunja ulinzi wake kwa kutoa password ama Parten yakeHivi ndugu zangu hizi simu za mjapani naona zinakuwa trend sana huku huu mwaka mwishon hapa
Niambien zina ubora huo zinaopigiwa promo
Camera
Waterproof
Battery inatunza moto
Storage yake. Ya uhalisia?
Midrange, camera na display vizuri kiasi chake, sema inakaa na chaji sana, ni ndogo kiumbo na Bei kitonga ikiwa used.alie wahi tumia sony 10iii anioe mrejesho