Alex Hamadi Hamis
Member
- Apr 18, 2017
- 86
- 57
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu hizo shati ndiyo elfu kumi 3?
Wakuu tuliopo mbeya, twendeni tu sido tukajibebe shat za 3000, kipengele ni kuzipiga tu pasi bc[emoji1787][emoji1787][emoji1787] 30k kodi yang ya mwezi[emoji38][emoji38][emoji38]
Kwa hiyo na wewe kumiliki kismatifonee ukaona ukapige MAPAZIA yaliyoshonwa na ukayaita mashati!!!!!
Ukaona uyape na lebo kabisa yaR&B ukadhani watu wanaogopa RB?
Hata kama ni za bati sio kwa bei hiyo.Ndio boss, kama unaelewa H&M brand ni the best quality
Nyonyoma hizi zinawaka motooo🤣🤣🤣🤣🤣alaaaa mtu mbad naziendea za sidooo🤣🤣🤣🤣aseeee sokapaMwaisa hizi ni za Dar... Sokapo hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyonyoma hizi zinawaka motooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]alaaaa mtu mbad naziendea za sidooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]aseeee sokapa
😆😆😆😆 mkuu mbona unampatia sana mwaisa, au ndo wewe mtu mbadi mkuu🤣🤣🤣🤣🤣Mtu mbadi unakwamisha michongo support movement za wana... Nitakutumia za TOMMY na ZARA sasa ambazo haziwaki moto mtu mbadi... Sokapo hapa [emoji23]
Kwa ubahili huu sitaki hata kuwa babe wako mkuu😀😀😀 ila 30k mmh kubwaaWakuu tuliopo mbeya, twendeni tu sido tukajibebe shat za 3000, kipengele ni kuzipiga tu pasi bc🤣🤣🤣 30k kodi yang ya mwezi😆😆😆
Kwa ubahili huu sitaki hata kuwa babe wako mkuu[emoji3][emoji3][emoji3] ila 30k mmh kubwaa
Babebeibiiiii, 30k n tatizo😅😅😅 ila my financial support hiz mambo na malove love ni wapi na wapi 🤣🤣🤣 stingy man😆Kwa ubahili huu sitaki hata kuwa babe wako mkuu😀😀😀 ila 30k mmh kubwaa
Sweetheart 💐Kwa ubahili huu sitaki hata kuwa babe wako mkuu😀😀😀 ila 30k mmh kubwaa
Mkuu zingetoka kwa 30,000/= kweli? Watu kama maprova tu ya elf 15 watu wanagwaya kununua. Anyway ila mm bajet yangu ya kuvaa kitu cha gharama ntakachovaa n sulual tu la 18,000 mbali na hapo vyote vinachezaga -10,000😆😆Du hizi shati ungepeleka minadani zingetoka haraka
Vunja bei anawapa kiburi eehMkuu zingetoka kwa 30,000/= kweli? Watu kama maprova tu ya elf 15 watu wanagwaya kununua. Anyway ila mm bajet yangu ya kuvaa kitu cha gharama ntakachovaa n sulual tu la 18,000 mbali na hapo vyote vinachezaga -10,000😆😆
Mkuu tafta za bei chee nikutaftie connection huku Sumbawanga/mbeya,Shati kali sana, kwa bei nafuu / Only 30k TZS
Mwenge, Dar es Salaam - Mkoani tunatuma (juu ya mteja)
CALL: +255688141992 / WHATSAPP: +255676095799
View attachment 1704145
View attachment 1704146
View attachment 1704147
View attachment 1704148
View attachment 1704149
View attachment 1704150
View attachment 1704151
View attachment 1704152
Nikiingia sido saa 11 asubh navikuta viatu vikali vya sh 5000 ambavyo ukienda mchana unakuta vinauzwa had 20,000/= na kuna wanaobahatikaga anaokota kiatu ya 5000 kumbe bei yake n had 90,000. Nmewashuhudia wengi. Kuna jamaa alinunua cha 7000 wahuni wakakijua ni cha bei ndefu, wakamwomba awauzie kwa 15,000 jamaa akashangaa sanaa mara wakaja wengine wakakichukua kwa 40,000. Kiatu kikali. So mm nikiwa na shida za viatu huwa nawahi tu saa 11 ashb sidooo🤣🤣Vunja bei anawapa kiburi eeh