She has unbreakable Hymen

KY ndo mwisho wa matatizo, wee inunue tu utaleta mrejesho

Unadhani sijatumia.. kaka mpaka nmekuja huku ujue nishafanya yote hayo. Tena tulianza kuitumia kabla ya kwenda hospiatal
 

Miaka 30+ inamaana hata rede hakucheza!!!!??
 
Inawezekana waliokuwa wanagusa walichemka kama Mr wake(just thinking) hymen ikaendelea kuwepo.
 
duuuh ..kitaalamu hiyo tunaita ana imperforated hymen...

sidhani kama Gynaecologist aliyebobea hayo mambo alikushauri ipasavyo..

but njia ya kuondoa hilo tatizo ni surgical procedure to remove a hymen ...

nadhani you have to consider senior specialists kwa kazi hiyo zaidi..
Dont waste your time kuhangaika na kuitoboa kwa kidole...

Its congenital gynaecological condition na ni mara chache sana kuwaona watu wa namna hiyo but hiyo hali ipo na nilishawahi kushuhudia dada mmoja aliadmitiwa akakutwa na situation kama hiyo..

Ila mara nyingi mtu mwenye imperforated hymen mara nyingi huwa hazioni siku zake lakini kwa huyo mwanamke hujasema kama anaona siku zake au laaa...

Kama anaziona siku kidogo basi na incomplete perforated hymen ambayo inahitaji procedure ndogo tu ya kutanua pale...

just visit a senior specialist atajua cha kufanya...
..But kadri unavyohangaika ndipo chance nyingi ya kudevelop Endometriosis inakuwa kubwa sana...

you can also conclude the diagnosis by transvaginal ultrasound au transabdominal ultrasound ukacomfirm kama ni incomlpete imperforated hymen au ni complete imperforated hymen...

pole kwa yotr but usilichekee hilo tatizo utakuja kujilaumu kwanini umemuoa coz atakuja develop chronic gynaecological conditions ambazo zitamletea shida kwa badae.. .

kama ataendelea hivo manake kupata ovarian tumor ni kugusa tu coz anatakiwq kila mwezi mayai yatoke but condition inakuwa poor.

be careful with yo wife utamwonea huruma badae...

In love we have to share the conditions,avoid kutanguliza starehe mbele but msaidie kwanza tatizo litoke..

over...
 
Sio kajitunza psychologicaly inaonekana kuna wenzako kama 100 hivi walijaribu wakashindwa ndio wamekuachia wewe usijisifu wala kumsifu yeye isifu hiyo unbreakable hyme!.
 
Mkuu hiyo bikra imekomaa. Mkiambiwa mtoe bikra mkiwa wadogo unabana pua ( mpaka ndoaa ) haya sasa, sikilizia maumivu yake. Mkuu bastisha hiyo kitu, fanya kama unagongea msumari kwenye mbao itatoka tu
 

Ahsante sana ndugu, ushauri wako nimeupokea naubeba naenda kuufanyia kazi. Bleed anapata kidogo sana na kwa maumivu makali sana na lazima achome sindano au ameze vidonge la sivyo analazwa na drip.

Ila At least wewe unafahamu kuhusu imperforate hymen vzuri. Sio mtu anashauri eti naaibisha wanaume kuomba huu ushauri wakati ajaona ukubwa wa tatizo.

Aisee hii kitu inaumiza sana, yani unasukuma mashine mtu mpaka anasizi kwa maumivu alafu mashine ipo nje palepale, weka KY jerry lakini wp. Tena anasema maumivu ni kama mtu ameshika maumeno anakata kitu kwa nguvu sana.

Wanaum wenzangu, wanawake wapo tofauti na wana mambo mengi. Kama hujawahi kukutana na tatizo kama nililokutana nalo mimi tema mate chini.
 
Sio kajitunza psychologicaly inaonekana kuna wenzako kama 100 hivi walijaribu wakashindwa ndio wamekuachia wewe usijisifu wala kumsifu yeye isifu hiyo unbreakable hyme!.

Hahah wabongo bana, hata ukiokota hela watasema ni mbovu. Haya ahsante kwa ushauri.
 
Mkuu hiyo bikra imekomaa. Mkiambiwa mtoe bikra mkiwa wadogo unabana pua ( mpaka ndoaa ) haya sasa, sikilizia maumivu yake. Mkuu bastisha hiyo kitu, fanya kama unagongea msumari kwenye mbao itatoka tu

Hahahah mkuu umenichekesha sana.. washauri wasifanye mapenzi mpaka ndoa
 
Kwasababu alishakutatulia tatizo lako huko nyuma? Ebu elezea vizuri
Alitatua tatzo la jamaa mmoja humu

Hilo hilo

Sory nna mizaha sana

Ila usimwonee vaa mahead phone makubwa yale weka wimbo wa bring it on ...

Macho fumba na kitambaa .. Juu

Break the dormacy
 
ushauri upi tena unaoutaka mkuu " wakati umesema kuwa kisima kimeanza kutanuka ...


Au ndio doli doli samwela !!?
 
Zamani walikua wanatuambia kaoa Mke ambaye hana
Unanikumbusha nilipata gf kama huyo miaka ile hapo Moshi mjini. Ila bahati mbaya enzi hizo sikujua Tigo. Ila alinipenda sana, ukitaka kuingiza haipenyi
 
Jamàa amejisifia hoo nimetoa watatu bikra ......to me you are not yet an expert...umetupiga kamba
 
Wewe huyo kamatia mzee acha apige kelele kama unabaka lakin mbele atakushukuru.Tumia stail ya yeye kukaa juu.
Una pump kisawa sawa kama pump za scania patafunguka tu.
Ukitumia demokrasi hapo watatoa wahuni
 
Paka mafuta mgando sikioni,,,,,,kwa uoga wa kuliwa 0713....hicho kitobo kitafunguka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…