She has unbreakable Hymen

She has unbreakable Hymen

oookey huyo sio kwamba alijitunza sababu ya dini..la hasni sababu ya hiyo kero alokua anaipata wakat wa kujaribu[emoji56][emoji56]....we huoni siku chache tu ishafunga tena njia....
problaby ilishafunguliwaga

ikajifunga....



chamsingi komaaaaaa ht safari ungeenda nae...ona sasanapata tena adhabu
 
Kinembe kipo, analoa kawaida as a nomal woman, hisia anazo tena kali sana maana hajawahi hata kushikwa na mwanaume huko chini.. so ukimguza tu anachanganyikiwa kabisa. Kiufupi she is normal kama wanawake wengine shida ni hio hymen. Na heshi kwake mpaka aende hospital akachomwe sindano (sijui jina lake) na vidonge ndo amalize salama la sivyo ni kuumwa mpaka kulazwa na inatoka kidogokidogo sana sana yaani.

Nilichogundua hio tissue (Hymen) ni ngumu sana ( sasa najiuliza je the way mwanamke umri unavyokwenda kama hafayi sex nayo inazidi kukomaa?) na Kuibreak kwa penis labda ndo maana anapatwa na maumivu kiasi cha kutaka kupoteza fahamu kabisa.
hiyo hymen imekomaa 30+ mchezoo.....hujaguswa....lzm pazibe

[emoji3] the law of use and dis use wale tunaokumbuka hii topic biology...kisipotumika baba hiyo ndo tabuuu
 
Kumbe bora niliitoa mapema, sipendi shida mimi.
 
Ni Female gyno, mkuu niliforce king acha tu.. afu sio kizazi cha bodaboda ana 30+ na kama papuchi nshacheza nazo za kutosha sana na bikra tatu nimeshavunja.

Maisha magumu kiongozi, nna kazi yangu na maisha kawaida tu kibanda nk. Ila huyu mwanamke ni mgodi ( wewe ni mwanaume unanielewa)
Asingekua mgodi ungevunja ndoa?
 
Mseng* umeanza kujitetea una kipipe kdg na vipimo juu huna lolote mzee,we una miguu mitatu[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Duh.....nimekumbuka tukiwa wadogo kama umeshika hindi la kuchoma, watu wazima wanalitamani walikuwa wanasema "lete nikuoneshe njia ya kwenda kwenu". Ukimpa tu atapukucha 'tani' yake!

Najua jinsi unavomuonea huruma mkeo.Mlete kwangu nikusaidie angalau kutanua hako katundu!!
 
Ahsante sana ndugu, ushauri wako nimeupokea naubeba naenda kuufanyia kazi. Bleed anapata kidogo sana na kwa maumivu makali sana na lazima achome sindano au ameze vidonge la sivyo analazwa na drip.

Ila At least wewe unafahamu kuhusu imperforate hymen vzuri. Sio mtu anashauri eti naaibisha wanaume kuomba huu ushauri wakati ajaona ukubwa wa tatizo.

Aisee hii kitu inaumiza sana, yani unasukuma mashine mtu mpaka anasizi kwa maumivu alafu mashine ipo nje palepale, weka KY jerry lakini wp. Tena anasema maumivu ni kama mtu ameshika maumeno anakata kitu kwa nguvu sana.

Wanaum wenzangu, wanawake wapo tofauti na wana mambo mengi. Kama hujawahi kukutana na tatizo kama nililokutana nalo mimi tema mate chini.
too much usage ya NSAIDS( ant paini) zina aggravate the worsening condition....

Cha msingi hapo fuata ushauri wangu...

Imperforated Hymens are surgically cured conditions and not otherwise...

just find a known and well specialized senior gynaecologist atafanya hiyo kazi vizuri na utafurahia then after..

over.....
 
Pole braza, haya mambo ya "kama unanipenda bas tusubiri mpaka ndoa" yaliwahi kunishinda kwa bikra mmoja hivi, nikapita zangu hivi. Kuna mambo huwa sinaga subira hata kidogo
 
Duh pole sana mkuu...Mi mwenyew dem wangu bikra ikifika siku za hedhi anaumwaa kweli kumbe hil tatiz ni la madem wengi....Nikimwambie anipe papuchi nae anataka mpka tuoane eti[emoji3526][emoji3526] mi naendelea na mabwawa yanfu huku nasubiri ndoa[emoji23][emoji23] kweli wanaume tumeubwa vizur manake akili zetu ni moja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kichwa kinavyosomeka (Sorry nimeshindwa kuandika kwa kiswahili).

Huyu binti ana 30+yrs na hajawahi kufanya mapenzi (Sababu ni imani yake, no sex mpaka ndoa) sasa nimemuoa ni mwezi 1 sasa ila ndani ya ndoa hajawahi kupata penis penetration.

Kabla ya ndoa niliheshimu sikuwahi kushiriki nae hio kitu zaidi niliendelea na michepuko yangu mpaka siku ya ndoa ikafika ndo ikafungwa zen tukafly kwenda kwenye honeymoon ambayo niliiandaa kwa muda kidogo maana ilikuwa ni gharama kidogo sasa na nilifanya hvo ili kumfurahisha na kumpongeza kwa kujitunza.

Kwenye honeymoon sasa, mzee nafurahi leo naenda kufanya tendo la ndoa tena takatifu tena mbali kabisa na nyumbani ila hali ikawa tofauti.

Ikawa Nikigusa tu hymen anapata maumivu makali sana, kiasi cha kushindwa kuvumilia. she can’t handle the pain kabisa. Ikabidi nimkague mbona penis haiingii hata kama ni virgin sio kwa hali ile (Nishawahi kutoa bikra za wadada 3 before).

Ikabidi nianze kuangalia vzuri, baada ya kukagua sana nkagundua kwamba hakuna njia kabisa, papo flat kabisa ni kama ngozi ya kiganja.. je unaweza ukapenyeza penis afu ichane ngozi ya kiganja? Nilijiuliza, baada ya kuzoom vzuri nkaona kitundu kidogo sana sana. Ikabidi tuanze kuongea kwamba anapataje heshi, akasema huwa anaumwa sana na damu huwa inatoka kidogokidogo sana. Usiku ule uninishangaza sana, kabla ya ndoa nilijua kuutumia ubachelor ila sasa nmepatikana maana sijawahi kuona hali hii.

Back to me, sina penis hiivooo ni 6.5 inch kwa urefu na round ni 5.5 inch hata kama sio huge hvo how can it penetrate kwenye kitundu kidogo, nilitafakari usiku mzima.

Basi ilibidi kesho yake turudi home na akaende kuonana na gynecologist (private hospital) akafanyiwa vipimo akaonekana hana tatizo ndani (kwenye mfumo wa uzazi) ila juu ni hio tissue tu.. gyno akapitisha kidole kwenge kitobo kidogo sana ambayo ndio inayopitisha damu (hedhi). Wife alipatwa na maumivu sana na akaambiwa kwamba hana shida aendelee tu na just one kick patafunguka vzuri.

Alirudi anaumwa kabisa nadhani ni baada ya kuguswa juu kwenye kile kitobo,
What i did is to make her feel comfotable and relax.. zen nkaamua kujaribu and this time nkapush just one heavy kick kuona kama zoezi linaweza fanikiwa. Oooh gosh! Alisikia maumivu makali sana sana! I felt her pain too maana alilia sana sana na zoez halikufanikiwa. Kama mwanaume mwenye uchu sikuacha nilipambana sana ila katobo ni kadogo sana kama tundu la mkojo kwa sisi wanaume.

Tatizo nkaanza kuliona ni kubwa sasa Ikabd aende nation hospital akaonane na gynecologist hapo ni baada ya kujaribu mara nyingi sana bila kufanikiwa(najua huwez kunielewa ila kelele anazopiga ni kama anabakwa mpaka naamua kuacha maana unawezaje kumuumiza mke wako kiwango hicho).

Kule hospital wakasema hana tatizo, ila ni avumilie maumivu tu mpaka pachanike(tena gyno anasema “wewe mbona muoga hvo utaweza kuzaa kweli”). Sasa amekuwa so down, nkitaka kuingiza tu anatetemeka, anaanza kujuta kwa nn hakufanya hio michezo miaka yote hio nk.

Kama mke wangu namwonea huruma sana na amechoka na haya maumivu na mimi nime choka pia kumuumiza. Nikaanza kuchana na kidole, sasa kidole kidogo kikawa kinaingia ila ukijaribu kutanua ile tissue ya juu analia sana anaumia nimefanya hvo mara kadhaa ila bado japo kitombo kilianza kukua.

Bahati mbaya nipeta safari ya kikazi, ila soon narudi home nlimuomba picha nione kama bado yapo ka kile kitobo aisee ile picha inaonyesha pamefunga kabisa kama mwanzo (Usiniombe picha hahahah[emoji23]). Mke wangu ananisubiri kwa hamu sana. Naombeni ushauri tufanyeje na hii hymen? Je hili tatizo lipoje kuna aliyewahi kukutana nalo na je alifanyaje? Nashukuru kwa ushauri wenu.
Kwahiyo hii bikra umeshaichana au bado unahangaika na maumivu ya mkeo!?
 
Back
Top Bottom