Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,681
- 8,736
Ninajua mimi nitakachokifanya!
acha umbea we mwanamke lol
Come, I await you.
||"You were too young to understand"||
hahahahaha kipi
That was the worst part.......
halafu na wewe una vichuna wangapi I thought ni Honey faith tu
hahahaha teambakinjia kuu
Acha halafu utaona!
how many chicks unawasubiria....before i decide
hahaa njia kuu foleni
Umeona eehhh..... Ila kimsing huyo demu ana pozi za kitoto na za kijinga she is nat mature enaf in fact hajui nini anakitaka in her life.....
ndo hvyo mkaka kaonyesha udhaifu na bidada anautumia, si wajua wanasema 'unapga panapouma'Aagh tukafanye yetu tu Kichuna wangu. At first ilikuwa sawa kabla bidada hajaweka msimamo wake. Mbaya zaidi dada anaandika na kuweka maneno as anacheka kabisaa huko alipo..shit. Then brother anauliza "do you love me?"
||"You were too young to understand"||
let her come here, much good ni mwandishi mzuri tu.
she joined here after my convincing hope she will speak a word
Atajua tu, she is too young to understand.
||"You were too young to understand"||
hahaa mie natamani nimpate kama uran ila wapi
ndo hvyo mkaka kaonyesha udhaifu na bidada anautumia, si wajua wanasema 'unapga panapouma'
Unadhan time ipo kuwangoja wale ambao had wajishaur mara kumi ndo watake action....
Life is abt acting fast and smart..... Asa we subir uone ka being too young ni sababu ya kutofanya maamuz....