She is here now, I need her back

She is here now, I need her back

Hahahahahah kwel life sucks.... Kuna wadada wengine wako desperate kutafuta their life partner's akat wengine wanawakataa kwa jeuri......kiruuu.....
 
unahitaji kitu kimoja tu KUUMIZWA naona unangangana kabisa kulizwa
 
moreen baby....ni rahisi sana kuruka mkojo na kukanyaga kinyesi (mavi)

angalia sana
 
Last edited by a moderator:
uran, seriously kabisa unasubiri jibu la Yes au No ndio uweze kufanya maamuzi.

MOVE ON....UNAANZA KUBOA KUMNG'ANG'ANIA MWANAMKE


||"You were too young to understand"||
hata mie ameniboa bhana, mwanaume analilia kama nini. Unalia kiume bhana. Hebu tusepe hapa Rogie maana....
 
Last edited by a moderator:
hata mie ameniboa bhana, mwanaume analilia kama nini. Unalia kiume bhana. Hebu tusepe hapa Rogie maana....

Aagh tukafanye yetu tu Kichuna wangu. At first ilikuwa sawa kabla bidada hajaweka msimamo wake. Mbaya zaidi dada anaandika na kuweka maneno as anacheka kabisaa huko alipo..shit. Then brother anauliza "do you love me?"


||"You were too young to understand"||
 
Last edited by a moderator:
Aagh tukafanye yetu tu Kichuna wangu. At first ilikuwa sawa kabla bidada hajaweka msimamo wake. Mbaya zaidi dada anaandika na kuweka maneno as anacheka kabisaa huko alipo..shit. Then brother anauliza "do you love me?"


||"You were too young to understand"||

That was the worst part.......
halafu na wewe una vichuna wangapi I thought ni Honey faith tu
 
Back
Top Bottom