Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
do u love me?
NAMI NIMETAHADHARISHA SANA MOREEN HAPA
...Mimi naamini ukikosa unayoyatarajia kwa huyo uliyenaye utaomba hata kuolewa mke wa tatu na kibabu cha miaka 60 sure i tell u)
UNAJUA KWA SABABU MOREEN YUKO NA MTU MPYA LAZIMA ATAKUWA MPYA KWAKE KWA KILA KITU, SO ANAWEZA KUSTUKA TAYARI SA 1 JIONI IMEFIKA NA JAMAA USIKUTE BADO HAJAWA TAYARI, ILA LILILOKUWA KUBWA
uran tafuta pesa man, mengine yatakuja tu, lea mwanao mcheki mama mtoto kama bado hajapata wa kumweka ndani mchukue muwezeshe ki maisha maisha yatasonga..
moreen baby.. uwe makini kwa kila step na binafsi nikutakie maisha mema.
Nasikitika nimeshindwa kuwa mwenyekiti wa hii harusi daaah inaniuma sana..
LifeHacker kama uko karibu pita huku mkuu uran anahitaj walau neno toka kwako!!! MziziMkavu Pasco na wengine....hii kesi naona imekua kubwa kuzidi uwezo wangu!!!!
Hapa hakupendi jamaa kwanza hana respect unampendea nini huyu.....? It's your choice uachane nae uwe huru au endelea nae akukomeshe mwisho wa siku utaelewa tu hata mimi nlitokewa na kitu kama hii lakini saizi let it go.
do u love me?
u nailed it bro kati ya watu wote waliochangia hapa wewe umeongea kitu cha maana sana sijui kama moreen atakuelewa
uran asikuzungue huyo baby moureen achana naye piga bunda kanajishaua tu hapa.
Videmu vingine vikijua vinapendwa shida.
Usiwasiliane msahau am telling you atakuja kukutafuta mwenyewe na wewe kipindi hicho unamuona nyaa
Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa
We nawe do u ll
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:
Hii misimamo ya hivi inakujaga kuleta shida baadaye.Na haichukuagi Muda .
Mmmh mapenzi haya !! moreen beby msamehe mwenzio hakuna aliye mkamilifu !!
We nawe do u love me do u love me ushaambiwa mapenzi ulaya africa biashara.
Embu mwombe msamaha na kivitz au samsung note 8 kama hujasamehewa.
Kijana jiongeze
Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa
hii sababu ya kuwa una mtu hujaianza leo hata
kidogo.
kuwa muwazi zaidi.
let finish this
ninaye mtu na nna malengo nae we unadhani toka nipo chuo mpka sasa nina kikazi cha kujishikiza nicwe na mtu kwelii mmh haya amin unavyoamini bt ninaye mtu
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:
mwambien bhana kweli nitamsumbua
uran,,nilishatoa ushauri wangu hapo.Lakini sasa natamani kuwauliza umri wenu!! uran umeishajieleza vya kutosha,na kwa kweli unahitaji pongezi mwanaume kufunguka namna hiyo!Ila sasa moreen baby wako huyo,angekuwa na mapenzi ya dhati wala msingefika hapa,,fanya maamuzi magumu,anza maisha mengine!Hata mkioana Atakusumbua sana huyo,amekuuliza kaenda chuo then kazi miaka yote ulidhani hasiwe na mtu??Mmg'ang'anie uone,hata ndani ya ndoa atakuwa anakwambia si unajua nilikwambia nilikuwa na mtu!do u love me?