She is here now, I need her back

She is here now, I need her back

nashuru muuza mkaa wangu hajui habar za jf wala nin yeye kutwa yupo maporini! siunaona hapo moreen baby anasema hiv uran anasema vile.!

Hongera zako, ila usijali sana ni kawaida hata maji yakichemka huruka ruka baade yanapoa na kutumika kama kawaida.. tegemea ligi kidogo kuhusu hili ila baada ya muda mimi ntakuwa mwenyekiti wa kamati kati ya moreen baby na uran (the big man) hahaaa, nina uhakika na hilo 100%.
 
M nshamsameehe ila siwezi kuwa wake tena naomba anijibu haya maswalihuyo mama mtoto wake atampeleka wapi wakati kwao tayari anajulikana na mimi nafasi yangu itakuwa wap

Nimekuwa nikiangalia comment za watu hapa,na nikawa na kigugumizi cha kuchangia moreen baby sasa unaongea,na asante kwa hatua hii! Sasa naomba huu mjadala ufungwe uhamie pm na kwenye simu zenu!

Kuna baba aliwahi piga simu kituo cha redio live akasema,popote ulipo (akataja jina) elewa nakupenda sana naomba uwe mke wangu naye akataja majina yake.Yule mwanamke by coincidence alisikia hiyo short msg live,na kweli walirudiana!

Kitendo alichokifanya uran leo ni cha kishujaa na ujasiri kwa wanaume wa siku hizi,nkupongeza sana uran kwa kukubali kutunza na kulea kiumbe chako,hiyo tu inaonyesha ulivyo mwanaume wa namna gani! moreen baby lione hilo,,kaa naye,mzungumze muweke misingi ya hayo maswali yako ya msingi yanajibiwa vipi na mtafanya nini!!Wahenga wanasema,"Mpende akupendaye moreen, uran anakupenda,hivyo ni wewe kulipokea pendo lake!

Sisi wote ni binadamu na wala sio malaika,tunafanya makosa,pengine kwa kutodhamiria kama ilivyotokea kwa uran!Cha msingi ni kukubali kuwa umekosa na kuomba msamaha,na kuahidi kutorudia kuyafanya hayo!Kwa wanaume tulio wengi,kuomba msamaha na kunyenyekea kwa mkeo ni shughuli pevu,sana sana atajifanya anakununulia zawadi hata ya gari ilimradi tu kusema nisamehe mke wangu hasiiseme! moreen baby umempata uran mwanaume muungwana kabisa na anayejua thamani ya Pendo,husiipoteze nafasi hiyo!
 
Last edited by a moderator:
mapenzi haya,sometimes ni kizunguzungu tu,huyo dada inaonyesha bado ana hasira zake,na huyo kaka na yeye hajakata tamaa
 
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:

moreen baby

moreen babyhaya maelezo hapa ya uran ni sahihi??
.................................
Ikaja ikatokea tukameet tena nilienda kanda ya ziwa, nikabahatika kuonana nae, lakini alichoniambia
ni kuwa mimi nayeye baasi. Na kigezo alichotumia ni mimi kutokuwa na mawasiliano nae kwa muda mrefu.
kwa hiyo haniamini tena!
Ile kitu iliniuma sana, kwa sababu nilimsihi sana
na kumweleza kila kitu na hali ilivyokuwa hakunielewa kabisa.
Ile hali ikanifanya niwe na mawazo mengine, ikizingatiwa huyu ndiyo alikuwa mwanamke wangu wa kwanza.
Na uzuri hata mimi kwake nilikuwa wa kwanza.

Nilimwazia mengi mema sana.
ila yeye hakutaka kunielewa, nikaona isiwe ishu.
kuna demu mmoja huyo tulikuwa tunasoma chuo kimoja na wakati huo yeye alikuwa huko huko kanda ya ziwa. Kwa uchungu wa kukataliwa na huyu wa kwangu, nilimpigia simu akanifuata nilipokuwa story mbili tatu mtoto kajilaza afu kimtego kabisa.
Nikajikuta nsha made nae love.. daah, hiyo haikuwa ishu sana, ishu ilijitokeza baada ya miezi miwili.
kumbe alipata Mimba na aliniambia baada ya miezi hiyo miwili kuisha..
Msimamo wa mdada ikawa ni kutoa mimba, coz hakutaka kabisa kuahirisha masomo.
Hapo mimi niligoma kabisa sikutaka kufanya dhambi ya pili tena, ilisumbua lakini baadae alikubali kulea mimba.
Sasa huy wa kwanza wangu alivyosikia, alinilalamikia sana, kuwa nimemsaliti!! Alinilaumu sana.
ila nilimwambia kuwa yeye ndiyo chanzo.



moreen babyNakuuliza unampa go ahead uran aendelee na maisha yake?? maana hapo nyuma nilimsoma uran katika story yake kuwa baada ya wewe kusikia anamtoto uliumia sana na wakati ni wewe huyohuyo ulishambwambia huwezi kuwa naye?

Kama unauhakika hamuhitaji tena uran, basi na iwe hivyo, BINAFSI NIKUTAKIE SAFARI NJEMA NA HUYO UMPENDAE.

MKUU
uran

KAMATA HII MANENO
1. MAMBO YAKIENDA KOMBO YAACHE YAENDEZE ZAKE USIENDE NAYO
2. HUWEZI KUACHA KUNYWA MCHUZI KWA KUKOSA PILIPILI
3. MWANAUME MAKINI HAWAZI JANA ANAWAZA LEO NA KESHO IJAYO.

ALL THE BEST MTAFUTE MAMA WATOTO WEKA SAWA MAMBO LEA MTOTO WAKO, MAISHA YATAENDA TU. HUWEZI KUACHA KUASAFIRI ETI KISA KUNA BASI LIMEPATA AJARI.
 
HAHAHAHA NEVER HAPEN BRO SIWEZI KUWA NA URANI NATAKA TU NIJUE BASI ILA KURUDIANA NAE HILO HALIPOOOOOOOOOOO!!!!!!!!!!!:closed_2:

Angalia lakini Huyo jamaa uliyenaye kwa sasa asije akakupiga chini!
Walah vile utamtafuta uran usimpate!
 
Last edited by a moderator:
M nshamsameehe ila siwezi kuwa wake tena naomba anijibu haya maswalihuyo mama mtoto wake atampeleka wapi wakati kwao tayari anajulikana na mimi nafasi yangu itakuwa wap

ngoja nikwambie,
moreen. yule dada alipojifungua alimlea mtoto kwa miezi michache tu akarudi zake chuo.

na keshamaliza na anamaisha yake.
mtoto namlea mimi ila mama yake hatuna connection yoyote.
 
M nshamsameehe ila siwezi kuwa wake tena naomba anijibu haya maswalihuyo mama mtoto wake atampeleka wapi wakati kwao tayari anajulikana na mimi nafasi yangu itakuwa wap

nimeshakujibu. tayari!!
 
Angalia lakini Huyo jamaa uliyenaye kwa sasa asije akakupiga chini!
Walah vile utamtafuta uran usimpate!

better akajua, japokuwa si mwombei mabaya hata kidogo.
 
Last edited by a moderator:
Angalia lakini Huyo jamaa uliyenaye kwa sasa asije akakupiga chini!
Walah vile utamtafuta uran usimpate!

NAMI NIMETAHADHARISHA SANA MOREEN HAPA
...Mimi naamini ukikosa unayoyatarajia kwa huyo uliyenaye utaomba hata kuolewa mke wa tatu na kibabu cha miaka 60 sure i tell u)

UNAJUA KWA SABABU MOREEN YUKO NA MTU MPYA LAZIMA ATAKUWA MPYA KWAKE KWA KILA KITU, SO ANAWEZA KUSTUKA TAYARI SA 1 JIONI IMEFIKA NA JAMAA USIKUTE BADO HAJAWA TAYARI, ILA LILILOKUWA KUBWA
uran tafuta pesa man, mengine yatakuja tu, lea mwanao mcheki mama mtoto kama bado hajapata wa kumweka ndani mchukue muwezeshe ki maisha maisha yatasonga..
moreen baby.. uwe makini kwa kila step na binafsi nikutakie maisha mema.

Nasikitika nimeshindwa kuwa mwenyekiti wa hii harusi daaah inaniuma sana..
 
Hongera zako, ila usijali sana ni kawaida hata maji yakichemka huruka ruka baade yanapoa na kutumika kama kawaida.. tegemea ligi kidogo kuhusu hili ila baada ya muda mimi ntakuwa mwenyekiti wa kamati kati ya moreen baby na uran (the big man) hahaaa, nina uhakika na hilo 100%.

wish that to happen
 
uran,umefanya jambo la kijasiri sana kuweka wazi hisia zako lakin kama bibie hakuelewi songa mbele.
 
Last edited by a moderator:
Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa[/QUOTE]

uran Piga moyo konde songa mbele, hakuna anayeijua kesho mkuu umeshafanya ya kutosha mkuu hata kuja hapa wazi kiasi hicho ni ujasiri tosha so akam moreen haelewi basi. Tafadhali usifanye naye ligi tafadhali kuna extent anaweza fika hatua mood yake ikibadilika asiandike maneno mazuri na inaonyesha bado mnaweza onana pia hata kuwasiliana hakuna haja ya kukwazana mkuu.

USHAURI WANGU KWAKO MKUU uran

MKuu; uran endelea na maisha mbele, muache tu moreen baby, mbali ya kwamba kwa jicho la tatu anakupenda, ila kwa kuwa naonyesha hadharani anapingana na moyo wake, wewe mtafute mama mtoto jifunze kumpenda leeni mtoto wenu, lakini tegemea kusumbuliwa na moreen babby siku za mbele, hasa pale anayoyatarajia kwa huyo hapo juu nilikobold BLUU (either akiachwa naye, au akaja kumujua jamaa si muaminifu kabisa, muongomuongo, au jamaa naye alishazaa nje na hakuwahi kusema kabisa) licha ya kwamba mimi namuombea nayofikiri na kuwaza yawe hivyohivyo ila yakienda tofauti atakosa furaha maisha yake yote wanaume dizaini zako uran wako wachache sana.

Songa mbele mkuu uran wanaume tumeumbiwa mateso... matesoo,,,, MUNGU AKUBALIKI KWA KUWA MUWAZI KABISA, NA UTAISHI MAISHA YA FURAHA YA AMANI, KWA KUKIRI KOSA NA KUOMBA MSAMAHA. SASA HUYO ASIYETAYARI KUSAMEHE KWA SABABU HIZO ALIZOZITOA WEWE MUACHE LAKINI UTARUDI HAPA KUSIMULIA.

Umenifanya nimwage chozi
 
Mnanikumbusha hili song la ABBA
Nilipenda sana kulisikiliza kipindi namwaga na my princess sasa bro unavyoweka hii kitu hapa unan flash back ngoja nikuwekee mistari huku naiplay hapa kwangu....

The winner takes it all

I don't wanna talk about the tings we ve gone through,
though it is hurting me, now its history...
I have played all my cards,what you have done too, nothing more to say, no more ace to play,
the winner takes it all, the loser standing small, beside the victory that's her destiny,
I was in your arms, thinking I belonged there,
I figured it made sense building me a fence, building me a home,
thinking I'd be strong there, but I was a fool, playing by the rules,
the Gods may throw a dice, their mind as cold as ice, and some one way down herelooses someone deae,
the winner takes it all, the winner takes it all the loser has to fall,
IT'S SIMPLE AND IT'S PLAIN, why should I complain, but tell me does she kiss you, like I used to kiss you, does it feel the same when she call your name, somewhere deep inside, you must know I miss you , but what can I say,
rules must be obeyed, the judges will decide,
the likes of me abide, spectators of the show always staying low, the game is on again,
a LOVER or a FRIEND a big thing or a small.
The wiNner takes it all,
I don't wanna talk if it makes you feel sad and I understand, you've come to shake my hand,
I apologize if it makes you feel bad seeing me to sense no self confidence, but you see the winner takes it all..................

Bro we chukua cd ya ABBA kula hii kitu ujiliwaze na usonge mbele...
THE WINNER TAKES IT ALL
 
khaaa mi ningekushauri msahau tu hyu mwanamke. Kwanza hata kwenye ndoa atakusumbua sana maana inaonekana wewe ndo una shida sana na hiyo ndoa. Maisha yaendelee assume hukuwahi kukutana nae
 
uran asikuzungue huyo baby moureen achana naye piga bunda kanajishaua tu hapa.
Videmu vingine vikijua vinapendwa shida.
Usiwasiliane msahau am telling you atakuja kukutafuta mwenyewe na wewe kipindi hicho unamuona nyaa
 
Last edited by a moderator:
Mapenzi mapenzi mapenzi!!! Daaahhhh am just speechless....
 
LifeHacker kama uko karibu pita huku mkuu uran anahitaj walau neno toka kwako!!! MziziMkavu Pasco na wengine....hii kesi naona imekua kubwa kuzidi uwezo wangu!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom