Ok guyzz mshaurini uran but cio mmm cz siwez rud nyuma na uamuzi tayar nimeshautoa m cwez kuwa naye cio kwamba cmpend but cwez kumsababishia maumivu mwanamke mwenzangu ambaye na yy tayar anampenda uran pli
mimi tayari nimeshampata ambaye ananipenda nami nampendaaaa[/QUOTE]
uran Piga moyo konde songa mbele, hakuna anayeijua kesho mkuu umeshafanya ya kutosha mkuu hata kuja hapa wazi kiasi hicho ni ujasiri tosha so akam moreen haelewi basi. Tafadhali usifanye naye ligi tafadhali kuna extent anaweza fika hatua mood yake ikibadilika asiandike maneno mazuri na inaonyesha bado mnaweza onana pia hata kuwasiliana hakuna haja ya kukwazana mkuu.
USHAURI WANGU KWAKO MKUU uran
MKuu; uran endelea na maisha mbele, muache tu moreen baby, mbali ya kwamba kwa jicho la tatu anakupenda, ila kwa kuwa naonyesha hadharani anapingana na moyo wake, wewe mtafute mama mtoto jifunze kumpenda leeni mtoto wenu, lakini
tegemea kusumbuliwa na moreen babby siku za mbele, hasa pale anayoyatarajia kwa huyo hapo juu nilikobold BLUU (either akiachwa naye, au akaja kumujua jamaa si muaminifu kabisa, muongomuongo, au jamaa naye alishazaa nje na hakuwahi kusema kabisa) licha ya kwamba mimi namuombea nayofikiri na kuwaza yawe hivyohivyo ila yakienda tofauti atakosa furaha maisha yake yote wanaume dizaini zako uran wako wachache sana.
Songa mbele mkuu uran wanaume tumeumbiwa mateso... matesoo,,,, MUNGU AKUBALIKI KWA KUWA MUWAZI KABISA, NA UTAISHI MAISHA YA FURAHA YA AMANI, KWA KUKIRI KOSA NA KUOMBA MSAMAHA. SASA HUYO ASIYETAYARI KUSAMEHE KWA SABABU HIZO ALIZOZITOA WEWE MUACHE LAKINI UTARUDI HAPA KUSIMULIA.