She is here now, I need her back

hiyo kwenda kwa wazazi itaanzia wapi wakati ye bado hajakubali kabisa kunirudia?
much worse anapenda sana kunitisha kuwa anampango wakuolewa mwaka huu.
huwa siamini
Wewe umeshazaa songa mbele na maisha na mzazi mwenzio maisha ya huyo kiumbe ni muhimu kwa sasa zaidi ya maisha yako; katika maisha haya mtu hapati atakacho bali ajaliwacho wenye shingo ngumu kuukubali ukweli huu huishia kubaya
 
Kosa la huyo Binti likowapi? au huo utoto uko wapi katika mapenzi.
inaonesha ni wa kulazimishwa na member wa humu jf
Km ana mtu wake naye afunguke?

Jamaa yeye ajitahidi kivyake na akikataliwa ameze pin kimyakimya sio na ss tuelewe
Bint anasema kurudiana na huyo jamaa ni kumuumiza Kiumbe mwingine anachotaka kila mtu kivyakevyake
 
kweli mkuu lakini kinachoshangaza hapa kidogo, moreen anakazania mimi na yeye tubakie kuwa marafiki tu.
na sio niachane nae kabisa.
Mkuu huyu moreen ni mstaarabu sio kila kitu akianike hapa
yeye amekushauri muendelee urafiki wa kawaida
wwunataka jibu la kuendelea au kuachana kabisa
Hivi matokeo yake yatakuwaje akisema sikutaki kabisa si ndio mwisho wa hii TAMTHILIYA?
Kuna majibu ukiwa na mwenza namna ya kuyatoa kwani ukijibu vibaya madhara yake ni makubwa na kila siku watu wanauana kwa ajili ya mapenzi na HASA VIJANA KM NINYI mtakapovuka 45 mtaelewa ni kitu ya kawaida na urafiki sasa utaendelea hata km wote mmezaa kivyenu
 
Last edited by a moderator:

sure sure mkuu, naenda kufanya hivyo very soon.
nimezungumza nae for more than 20minutes but hatuelewani.
I can move on kwa kweli.
ni miaka zaidi ya 6 sasa imepita without her.

Nilileta hili swala hapa kwenye public ili nijue msimamo wake wa mwisho.
then kauonyesha.
Nitaamua sasa.
moreen baby sababu anayoitumia ni dhaifu sana.
ila nimeona, umaarufu nao pia ni tatizo...!!!
 
i'm not sure if she dont love me.
..
naamini pia naweza ku move on.

Hatimaye hii kesi imeisha finally.Suluhisho ni wewe kuendelea na maisha braza,nitakupa sababu kuu ya wewe kufanya hivyo

It's funny that this has been too much of a coincidence caz I had a gf named Maureen and we broke up for the very same reason.Hivyo nikaamua kufanya karesearch kadogo kuhusu wadada wenye majina haya ya Maureen au Moreen maana nilimpenda sana.Huu uzi leo umeconclude research yangu kwani sample yangu ilikuwa ya wadada wawili huyu akiwa wako akiwa watatu.

Kwa kifupi ni kwamba wadada wenye majina haya wamejaliwa urembo,wengi wao wanamuonekano mzuri wa nje,na kwasababu hiyo huwafanya wawe wajeuri na kuhisi kwamba hawawezi kukosa mwanaume wa aina yoyote.To them they always think they deserve better than what they current have.Na haya yote yamejidhihirisha kwa huyu Moreen wako(I am not sure if it's her real name though)

Atakusumbua huyu mkuu baadae,Moreen uliyemuacha mwanza kipindi kile umemaliza advance sio huyu wa sasa.huyu wa sasa tayari anaijua dunia na anahisi kuwa ana deserve mtu bora zaidi yako na anajikubali sana kifikia hatua ya kujibu kwa dharau mbele ya umati

Kwenu wakina Moreen
The whole world doesn't revolve around you.There is nothing like a perfect guy na zimwi likujualo halikuli likakwisha,lakini pia kumbukeni bora shetani unayemjua kuliko malaika usiyemjua

MKUU,MOVE ON
 
Wewe umeshazaa songa mbele na maisha na mzazi mwenzio maisha ya huyo kiumbe ni muhimu kwa sasa zaidi ya maisha yako; katika maisha haya mtu hapati atakacho bali ajaliwacho wenye shingo ngumu kuukubali ukweli huu huishia kubaya

mkuu huyu mama wa mtoto wangu nilishamkataa..
hii kitu ina zaidi ya miaka 5 mkuu.
mtoto kwa sasa ni mkubwa
 
Kama unampenda kkiukweli acha usengeri, kula mzigo. Ila kama uushampata mwingine chapa lapa mazzima.

Kwani mtoto ni ukoma kusema ni najisi? Kuna siku utakumbuka kitu, hamna kazi ngumu kama kupata mwanamme anayekupenda, wengine wanakusomesha mileage tu.

Mie ngastuka mapema, nkamsamehe zombie wangu kabla hajaenda. Mazima.

Siku akitangaza ndoa ndio utausikia uchungu.

 
Ila uran kwa nini usikae na mama wa mtoto wako

au na yeye stori ikoje

mama watoto, sikukubaliana nae chochote.
na baada ya kujifungua alikaa na mtoto kwa muda mfupi, then akaenda zake kuendelea na masomo.
sina mawasiliano nae kwa ukaribu..
 
mkuu huyu mama wa mtoto wangu nilishamkataa..
hii kitu ina zaidi ya miaka 5 mkuu.
mtoto kwa sasa ni mkubwa
Sasa miaka yote hiyo mitano unadhani madushee mangapi yameshazama kwa huyo mpenzi wako wa zamani na mangapi yameusulubisha moyo wake fresh; jipange anza upya hapo kuna mseto wa hisia zinaweza kukutilisha mweleka mpya.
 
Kumbe maarufu.....
 

Mmhhh kuhusu jina thoo..... Najiogopaaah
 
Samahani uran una miaka mingapi???!!Namaanisha umri wako,na huyo bibie ana miaka mingapi!Naona kama tunapoteza muda kutoa ushauri!Samahani lakini
 
Last edited by a moderator:
Samahani uran una miaka mingapi???!!Namaanisha umri wako,na huyo bibie ana miaka mingapi!Naona kama tunapoteza muda kutoa ushauri!Samahani lakini

ha ha ha mkuu sidhani kama itakuwa vizuri kuweka umri wangu hapa.
unaweza kukadiria lakini, then sisi sio watoto mkuu, i completed my A level studies in 2007.
at that time moreen ndiyo amehitimu kidato cha nne.
kila mtu anamaisha yake sasa!!
 
Last edited by a moderator:
hili nalo neno atii
cc uran

Anaomba msamaha sijui msimamo jf.
Ajiongeze bana si kulialia hiyo si sifa ya mwanaume wa kitanzania.
Mie jambazi langu jeuri balaa ndo maana siliachi lingekuwa la kulialia kama uran ningeshaliacha siku nyingi sana.
 
Last edited by a moderator:
Anaomba msamaha sijui msimamo jf.
Ajiongeze bana si kulialia hiyo si sifa ya mwanaume wa kitanzania.
Mie jambazi langu jeuri balaa ndo maana siliachi lingekuwa la kulialia kama uran ningeshaliacha siku nyingi sana.

hahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…